OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Nilikuwa bado shule ya msingi Kule kijijini hakukuwa na TV. Tulisafiri km 50 na dingi kwa baiskeli kwenda kumwangalia David Beckham. Ilikuwa ni 1999 fainali kubwa Man Utd na Bayen Munich.
Nilikuwa nashangaa tu,sielewi kitu. Jamaa wanazi wajuzi wa kandanda wakaja kunisimulia baadae kwamba Man U kashinda goli 2 ndani ya dakika 2 za nyongeza.
Kumbe bana katika maisha usikate tamaa. Tuambie wewe ipi ilikuwa mechi yako ya kwanza
#Bring back our Billionaire Mo Dewji