Mara ya mwisho Simba kufungwa Taifa

Mara ya mwisho Simba kufungwa Taifa

french

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2017
Posts
3,572
Reaction score
3,726
Nataka niweke records sawa kwa wana yanga kuwa, mara ya mwisho Simba SC kufungwa Uwanja wa Taifa aka kwa mchina ilikuwa 23/05/2019 alifungwa na timu ya Sevilla ya Spain.

Al ahly, Js saoura, As vita wote walichezea kichapo. TP mazembe ilijita ikapata sare. Yanga watauweza mfupa uliowashinda miamba ya soka Africa? Jibu wanalo wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sasa hivi yanga kuifunga simba ni ndoto watafute sare basi lkn ukiangalia yanga haina tofauti na namungo au coast
 
Mikia mnabebwa tu hamna lolote ndio maana mlitoka awali kama timu ya ndondo CAF
 
Nataka niweke records sawa kwa wana yanga kuwa, mara ya mwisho Simba SC kufungwa Uwanja wa Taifa aka kwa mchina ilikuwa 23/05/2019 alifungwa na timu ya Sevilla ya Spain.

Al ahly, Js saoura, As vita wote walichezea kichapo. TP mazembe ilijita ikapata sare. Yanga watauweza mfupa uliowashinda miamba ya soka Africa? Jibu wanalo wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Imani kama hiyo ndio iliyo iponza Simba dhidi ya UD Songo nakushuhudiwa wakitanguliwa goli na kisha wakaanza kuangaika kulichomoa. Mpira hauchezwi kwa maneno ya kumbukizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Records hazina maana before game zina make sense baada ya game ukiingia uwanjani na kiburi cha record huta amini unacho kiona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom