Nataka niweke records sawa kwa wana yanga kuwa, mara ya mwisho Simba SC kufungwa Uwanja wa Taifa aka kwa mchina ilikuwa 23/05/2019 alifungwa na timu ya Sevilla ya Spain.
Al ahly, Js saoura, As vita wote walichezea kichapo. TP mazembe ilijita ikapata sare. Yanga watauweza mfupa uliowashinda miamba ya soka Africa? Jibu wanalo wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Al ahly, Js saoura, As vita wote walichezea kichapo. TP mazembe ilijita ikapata sare. Yanga watauweza mfupa uliowashinda miamba ya soka Africa? Jibu wanalo wao.
Sent using Jamii Forums mobile app