Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
Kila mtu ana Zamani yake.
Zamani yenye kufarahisha na Kuleta kumbukumbu ya kujicheka mwenyewe samytimez.
Miaka yetu tunabalehe, vijisimu vya goroka ndiyo vilikuwa vinachangamka, wale watoto wahuni tulikuwa tunavitumia kwa siri huku, wazazi wakipinga swala la mwanafunzi kumiliki simu.
Mtu wangu wa kwanza kumtongoza wakati naanza kupata ashki za kimwili...bahati mbaya hakuwa na simu.🤣🤣🤣 tupo kidato cha kwanza. Nakumbuka msichana huyo wa kwanza kumtongoza nilimuandikia barua, akanijibu YES, Shida ikaja kila nikimuona yule shuleni au mtaani, lazima nibadili njia. Yeye ndiyo akawa ananitafuta mimi.
Huyu mimi wa sasa mjanja mjanja najicheka nikikumbuka zamani yangu. #Enzi za ufala. Hebu share story yako hapa ilikuwaje mara yako ya kwanza?
Zamani yenye kufarahisha na Kuleta kumbukumbu ya kujicheka mwenyewe samytimez.
Miaka yetu tunabalehe, vijisimu vya goroka ndiyo vilikuwa vinachangamka, wale watoto wahuni tulikuwa tunavitumia kwa siri huku, wazazi wakipinga swala la mwanafunzi kumiliki simu.
Mtu wangu wa kwanza kumtongoza wakati naanza kupata ashki za kimwili...bahati mbaya hakuwa na simu.🤣🤣🤣 tupo kidato cha kwanza. Nakumbuka msichana huyo wa kwanza kumtongoza nilimuandikia barua, akanijibu YES, Shida ikaja kila nikimuona yule shuleni au mtaani, lazima nibadili njia. Yeye ndiyo akawa ananitafuta mimi.
Huyu mimi wa sasa mjanja mjanja najicheka nikikumbuka zamani yangu. #Enzi za ufala. Hebu share story yako hapa ilikuwaje mara yako ya kwanza?