[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nakumbuka ndo naingia dasilamu kwa mara ya kwanza mwaka 2001.... Aisee licha yakushangaa mji nilikutana na muhuni pale ubungo!!! Yani nishafika nilipokuwa natakiwa kufika sasa nikaona ninyooshe miguu nikakutana na mteja anasimu kali[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] akaniambia elfu50 duuh me nina elfu 15 ikabidi nimpe simu yangu ya nokia jeneza na elfu 15 aloo alafu akaniambia usifungue hapa iyo bahasha siunaona mamwera mbele simu za dili izo... Na kwa ujinga wangu sikufungua daaah nafika mbele nicheki nakuta sabuni mbuni[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yani nimepigwa simu na hela juu nimeachwa na line[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] niliichukia sana dasilamu walahi