Maradhi yote Ugua ila kuchacha usiombee!!

Maradhi yote Ugua ila kuchacha usiombee!!

Una kila kitu wanacho taka wana damu shida iko wapi?

uza figo moja! dola million 9000 au

uza maneno tena unabaki nayo mengi tu!!

uza naniliu yako hiyo si imekaa bure tu... utapata fedha tu! tena utabaki nayo muone nabii tito!

Rais mstaafu aliwahi sema uchumi watanzania mmeukalia
 
Una kila kitu wanacho taka wana damu shida iko wapi?

uza figo moja! dola million 9000 au

uza maneno tena unabaki nayo mengi tu!!

uza naniliu yako hiyo si imekaa bure tu... utapata fedha tu! tena utabaki nayo muone nabii tito!

Rais mstaafu aliwahi sema uchumi watanzania mmeukalia
Mnunuzi wa mboro nitampata wapi!?
 
Vijana wasiojua maisha bana wanaona pesa ndio kila kitu...Hujatembea mahospitalini MTU anakufa na pesa zimemzunguka zimejaaaa...yule MD wa safaricom Kenya alikuwa analipwa 100+ mill kwa mwezi lakini alijua havuki tarehe fulani atakayokufa kwa cancer....
So what kwahiyo tusitafute pesa?
Kuishi manzese uswazi,na mbezi beach kwenye mjengo wako,kupanda daladala na kuvumilia kero au ku drive mkoko wako,kipi bora?
Huyo MD wa safari com,Bob collmore,aliondoka in his own terms,angekuwa amekufa miaka kibao nyuma,alikuwa anapata tiba za Hari ya juu,US,na UK,kwa muda mrefu,mpaka jopo la madokta walipomwambia,hapa ni mwisho,akarudi nyumbani,akaweka mambo yake safi.
Sasa maskini hata UTI,typhold inaweza ikakutoa roho.
Tajiri Kufia India,au SA kwenye cutting edge medical technology,sio Sawa na maskini Kufia Muhimbili,amana,ukiwa umelazwa,lichumba lina joto,huduma mbovu,unapewa dawa za kupunguza maumivu,kwa sababu huna uwezo wa kulipia,na bima yako haina uwezo,wanasubili ndugu zako walipie,Ili uanze kutibiwa.
 
Kwani pesa Ina masikio hadi ikusikie?.
Nahisi umgeni kwenye mambo ya Imani, hivi pale mtu anapopata pesa kwa wingi pengine bila kutarajia au kitu kingine chochote kile chenye thamani kama gari na kuamua kulibusu huwa linasikia au linaona au linatambua chochote kile kinachoendela!?
 
Kabla ya kuruhusu huu mjadala kwenda mbali,hebu utuambie kwanza mpaka hapo ulipofikia, umeumwa maradhi mangapi/ ya aina gani hapo kabla?

Siku ukitembelea zile Hospitali kubwa kubwa za wagonjwa wa afya ya akili, wagonjwa kisukari, kansa, nk. Utakuja kuomba radhi. Yaani umeishiwa kidogo tu ndiyo ulinganishe hiyo hali yako na maradhi!!

Huwezi hata kupiga mizinga na kuishi kwa mission town kama wajanja wengine wa mjini!! [emoji56]
Wanaitwa zuga men
 
ulipoandika nina kila kitu wanachohitaji wanaadamu nikajua wavijua vyote, kumbe hata wewe vingine huvijui!? Hicho ndicho nilichonacho ninachoweza kuuza!!
kuna mwanadamu anahitaji kibamia kweli? mashine zooote hizi! au unaomboleza
 
Ukitaka kuutafakari huo wimbo , kaa hapa mjini ukose ngawira kwa mda wa mwezi mmoja na una mke na watoto tena umepanga . Hata kama hujui kucheza utaucheza huo mziki ukitafakari .

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom