Webb
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 425
- 883
Maradona;
Nimesha sema sana Mourinho ni kocha bora sana kuliko Gardiola.
-Mfumo wa tick tack(pasi nyingi)yeye sio mwanzilishi,ameiga kwa Johan.
-Kwa sasa anabebwa na pesa za waarabu,anasajili mchezaji yeyote anayemtaka.
My take
Hayo ni maneno ya Maradona,so mjumbe hauwawi
Nimesha sema sana Mourinho ni kocha bora sana kuliko Gardiola.
-Mfumo wa tick tack(pasi nyingi)yeye sio mwanzilishi,ameiga kwa Johan.
-Kwa sasa anabebwa na pesa za waarabu,anasajili mchezaji yeyote anayemtaka.
My take
Hayo ni maneno ya Maradona,so mjumbe hauwawi