maradona kamaliza,huwezi kumsifu mtu anaefundisha timu ina xavi,iniesta,messi..anatoka hapo anakimbilia bayern inayonunua wachezaji wote wazuri bundes liga,akitoka hapo anaenda etihad anatumia pound 500+m wakati wenger katumia 70m
Gurdiola kafanya maajabu gani Bayern?Mou alikuwa Madrid, hajafanya maajabu.
Gurdiola kafanya maajabu gani Bayern?
Kwan Morinho katumia shiling kununua wachezaj na hakuna mafanikio man u ?maradona kamaliza,huwezi kumsifu mtu anaefundisha timu ina xavi,iniesta,messi..anatoka hapo anakimbilia bayern inayonunua wachezaji wote wazuri bundes liga,akitoka hapo anaenda etihad anatumia pound 500+m wakati wenger katumia 70m
Na alichukua kombe moja FebruaryHilo ni jibu la swali au ni swali juu ya swali?
Bundesliga 3 straight seasons.
Na alichukua kombe moja February
Sasa Bundesliga nayo kocha anajisifia kubeba? Uefa vp?Hilo ni jibu la swali au ni swali juu ya swali?
Bundesliga 3 straight seasons.
Sasa Bundesliga nayo kocha anajisifia kubeba? Uefa vp?
Ukiachana na pep sijaona kocha mwngne
Ana jcho la kipekee juu ya wachezaj
Kumbuken alimuuza dinho katka ubora wake akabak na messi ambae n chipukiz kwa kipindi kile
Yani wewe uwezi kabsa kuanalyse vitu, Morinho hakuna sehemu ameenda afu asitumie hela kujenga timu angalia akiwa na Inter alichukua wachezaji wa namna gani kuijenga inter, utofauti ni kwamba kipindi kile gharama za usajili zilikua ndg.maradona kamaliza,huwezi kumsifu mtu anaefundisha timu ina xavi,iniesta,messi..anatoka hapo anakimbilia bayern inayonunua wachezaji wote wazuri bundes liga,akitoka hapo anaenda etihad anatumia pound 500+m wakati wenger katumia 70m
Sio kwel, coz usajiri wa gaucho ac milan dunia ilisimama na watu weng walihoj inakuaje mtu unamuuza mchezaj kama gaucho anaeweza kupindua matokeo muda wowoteGaucho alijichokea akawa hana thamani tena mbele ya KING MESSI,,,