Kasinja jr
JF-Expert Member
- Aug 4, 2017
- 1,034
- 1,812
HàhaPele alishawahi Kusema Maradona anamwonea Wivu Messi!
Wivu wa nn ?Pele alishawahi Kusema Maradona anamwonea Wivu Messi!
Màradona 1 na Pele 3Nani kachukua kombe dunia kati yao ?
Messi anawakosesha usingizi hawa mabwana.
Umejua mpira mwaka 2010! Sio kosa lako.Nakweli aise kawakosesha isingizi kabisa. Coz kishawaovertake.
- Messi
- Diego
- Pele
One more step to go and Messi must do this. Ukiongea Pele, Maradona na wakufanana nao eventually you mean World Cup. Messi this is your time to join the Legends in Russia. Asipofanya hilo awamu hii atabaki chenga twawala. Messiiiii!!!!!!!Nani kachukua kombe dunia kati yao ?
Kuna sifa ya ziada and of course ni Heshima to lead na kubeba Kombe la Dunia. Captains must lead by examples. Messi akizidiwa analialia na unfortinatelly hata Copa America hajawahi kupiga nalo picha. [emoji12] [emoji40]Hizi sread za maradona na messi sijui pele zimezidi mjadala ufungwe. Messi ni nyoko. Period
Messi kuto kula ganja kama yeye na hatimae kumuwezesha kuvunja na kutengeneza record mpya za soccer duniani kuliko huyo maladona mla ngada.Wivu wa nn ?