Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Wewe umejua mwaka gani?
Sio kosa lako shabiki wa united kuwa na mapenzi na crCHOKO
Kwa goal 4 za penalty au kwa kupakatwa morroco?
Umeuliza swali nimekujibu kutokana na swali lako sasa unakuja na assumption nyingine ambayo haifanani na ile ya mwanzo.Ozil ana word cup kwaiyo ni bora kuliko cr7?
Acheni kuwa brainwashed WC inakupa heshima tu lakini sio kukufanya uwe bora kuliko ambao hawajachukua
Kivipi mkuu kwan kuna kitu nimeongea uongo hapo??Unaongea kinazi na ww kapimwe mkojo
Ozil Hana criteria Nyingine walizonazo kina Gaucho na De lima,Ozil ana word cup kwaiyo ni bora kuliko cr7?
Acheni kuwa brainwashed WC inakupa heshima tu lakini sio kukufanya uwe bora kuliko ambao hawajachukua
Assist zipi unasema,Gaucho anakaaje hapo kapitwa goals na messi assist hadi kila kitu sio messi kapitwa hadi na neynar jr
Achana kabisa na pele na diego , hao ni nomaMessi anacheza namabeki na viungo wengi wasiokuwa na ubora kama wa enzi za pele na maradona
HakikaOzil Hana criteria Nyingine walizonazo kina Gaucho na De lima,
Kwa kifupi
1.Pele
2. Eusebio
3. Garincha
4. Màradona
5. Bergio
6. Zidane
7. Ronaldinho Gaucho
8. De lima,
9. Messi
10. Iniesta
11. Thierry Henry
12. Xavi
13. Cristiano Ronaldo
14. John Cruyff
Dansa wa akudo impactMessi ni nani kwani?
Ozil Hana criteria Nyingine walizonazo kina Gaucho na De lima,
Kwa kifupi
1.Pele
2. Eusebio
3. Garincha
4. Màradona
5. Bergio
6. Zidane
7. Ronaldinho Gaucho
8. De lima,
9. Messi
10. Iniesta
11. Thierry Henry
12. Xavi
13. Cristiano Ronaldo
14. John Cruyff
Hakika
Kwa lipi? Hajaonyesha lolote World Cup.... Huwezi kumfaninsha na hao... Huwezi kumfananisha hata na zidane.Messi anawakosesha usingizi hawa mabwana.