Maradonna amshambulia Lionel Messi Vikali

Maradonna amshambulia Lionel Messi Vikali

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Maradona amenukuliwa akisema kuwa , Messi ni mchezaji mzur sana. Lakini si kiongozi kwa maana ya kwamba hawezi ongoza wenzie. Anasema ni vigumu kumfanya kiongozi mtu ambaye kabla ya mechi anaenda msalani mara 20.

Hatujui anaenda kufanya nini. Kama ni kupooh, kukojoa,kucheza pool au kujitizama kwenye kioo...

Si maneno yangu ni ya mkongwe Diego Armando Maradonna. Mchawi wa mpira toka Argentina. Ambaye hatowasahau Cameroon ile ya akina Makanacky, Roger Miller, Emmaniel Kunde n.k
 
Maradona amenukuliwa akisema kuwa , Messi ni mchezaji mzur sana. Lakini si kiongozi kwa maana ya kwamba hawezi ongoza wenzie. Anasema ni vigumu kumfanya kiongozi mtu ambaye kabla ya mechi anaenda msalani mara 20.

Hatujui anaenda kufanya nini. Kama ni kupooh, kukojoa,kucheza pool au kujitizama kwenye kioo...

Si maneno yangu ni ya mkongwe Diego Armando Maradonna. Mchawi wa mpira toka Argentina. Ambaye hatowasahau Cameroon ile ya akina Makanacky, Roger Miller, Emmaniel Kunde n.k
Japo mim ni shabiki wa cr7 ila Maradona hakutakiwa kumkosea heshima mess kama kweli katamka maneno ayo. Mafanikio aliyo yapata akiwa na Argentina yasi mtie kibur Diego. Mess ni kama mtotowake.
 
Wivu unamsumbua. Na vile messi kapewa jina la king na sio yeye hapo inamuuma sana
Japo mim ni shabiki wa cr7 ila Maradona hakutakiwa kumkosea heshima mess kama kweli katamka maneno ayo. Mafanikio aliyo yapata akiwa na Argentina yasi mtie kibur Diego. Mess ni kama mtotowake.
 
Exactly,pia huko argentina kuna dini ilianzishwa ya kumuabudu(maradona)na mwanzon hivi akawa kama anataka kumvutia messi huko ila jamaa akashtuka na kujiweka mbali nae ndo maana anampondea sana
Maradona uwa anataka Argentina kumtukuza yeye na si Messi kama mwanasoka bora nchini humu
 
Ila jamaa inaonekana ana bifu sana na Messi.

Hili jamaa ngada zimeshaharibu oblangata

Japo mim ni shabiki wa cr7 ila Maradona hakutakiwa kumkosea heshima mess kama kweli katamka maneno ayo. Mafanikio aliyo yapata akiwa na Argentina yasi mtie kibur Diego. Mess ni kama mtotowake.

Ngada imemharibu huyo babu

Wivu unamsumbua. Na vile messi kapewa jina la king na sio yeye hapo inamuuma sana

Maradona uwa anataka Argentina kumtukuza yeye na si Messi kama mwanasoka bora nchini humu

Kusema ukweli imekuwa tatizo kwenu.
 
Maradona ndiye alimpa Messi ukapteni wakati yeye akiwa kocha ina maana hakujua hilo tatizo mbona hajisemi yeye anavyofeli akiwa kocha
 
Maradona amenukuliwa akisema kuwa , Messi ni mchezaji mzur sana. Lakini si kiongozi kwa maana ya kwamba hawezi ongoza wenzie. Anasema ni vigumu kumfanya kiongozi mtu ambaye kabla ya mechi anaenda msalani mara 20.

Hatujui anaenda kufanya nini. Kama ni kupooh, kukojoa,kucheza pool au kujitizama kwenye kioo...

Si maneno yangu ni ya mkongwe Diego Armando Maradonna. Mchawi wa mpira toka Argentina. Ambaye hatowasahau Cameroon ile ya akina Makanacky, Roger Miller, Emmaniel Kunde n.k
Diego anamheshimu Kun Aguero pekee. Alioa mwanaye na akamtema. Heshima moja kwa moja. Wengine wote anawaona mafala tu.
 
Hili teja nalo linasikilizwa??.. maradona yeye anataka aabudiwe mpaka Leo!.. wakati zama zake zimepita..
 
Back
Top Bottom