Marafiki ndio maadui zako wakubwa

Marafiki ndio maadui zako wakubwa

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Adui sio mtu ambaye yupo mbali, ni rafiki yako wa ndani wa toka nitoke, yaani mmeshibana sana ndio anakuharibia maisha. Leo unamuona bonge la dili ila baadae unakuta yeye ndio amekuharibia vitu, ukija sikia unakufa kabisa. Wala huponi kwa dawa, sindano wala drip.

Kwa hiyo mlio na marafiki tembeeni kwa stepu. Juzi hapa mtu kamuamini rafiki yake akae kwa mchumba wake eti ndio atamchunga vizuri, kurudi baada ya masomo anamkuta best yake ni mke wa halali wa jamaa!
 
IMG_0069.jpg
 
Maadui sio mtu ambaye yupo mbali ni rafiki yako wa ndani wanitoke nikutoke yaani mmeshibana sana ndio . Anakuharibia maisha leo unamuona bonge la dili ila baadae unakuta yeye ndio amekuharibia vitu ukija sikia unakufa kabisa . Wala huponi kwa dawa wala sindano wala drip .

Kwa hiyo mlio na marafiki tembeeni kwa stepu . Juzi hapa mtu kamuamini rafiki yake , akae kwa mchumba wake eti ndio atamchunga vizuri kurudi baada ya masomo anamkuta best yake ni mke wa halali wa jamaa.
Kuna vitu vya kuwaamini marafiki lakini sio hivyo...
 
Sasa umalaya wa huyo Alie msaliti mpenzi wake kisa yupo mbali ndo uchafue marafiki?
Usiharibu sifa za marafiki sababu ya Malaya mmoja hivi
 
Back
Top Bottom