welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 2,151
- 4,681
kumuamini sana rafiki ni kujigeuza kuwa mtumwa wake hasa ukiwa roporopo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu acha tuu yani nimewasamehe Bure ila ingekuwa tunakufa halafu Mungu anatupa nafasi ya kuchagua familia ningemchagua Mama na Baba yangu ila upande wa ndugu wa damu hata mmoja nisingechagua.wanasema ni heri wali maharage kuliko walimwengu, ndugu ni watu wengine wa kuwa nao makini sana.
Ndugu wengi ni hatari na wamefanya ya hatari sana kwa ndugu basi tu kuna msamaha ila ndugu wanagharimu sana. Ndugu hawaaminiki na wengi wanatumia kigezo cha undugu kutekeleza maasi yao.Mkuu acha tuu yani nimewasamehe Bure ila ingekuwa tunakufa halafu Mungu anatupa nafasi ya kuchagua familia ningemchagua Mama na Baba yangu ila upande wa ndugu wa damu hata mmoja nisingechagua.
Sawz ni kweliwanasema ni heri wali maharage kuliko walimwengu, ndugu ni watu wengine wa kuwa nao makini sana.
Ni kweli mtumishiNakubali! Rafiki anaweza kupata chochote kutoka kwako kwa mazingira ya kutumwa na sangoma. Atakufanyia ushirikina wowote anaotaka huku ukicheka nae.
HakuwaInategemea, mwenye makosa hapo ni huyo Mchumba hakuwa na msimamo.
🤣🤣Jf bana ukishawaambia unafanya mishe gani mjini,umeisha,wataitumia ktk every chance against you.Umeacha kuuza Softwares
"America has neither permanent friend nor permanent enemy, we only have permanent interests"Adui sio mtu ambaye yupo mbali, ni rafiki yako wa ndani wa toka nitoke, yaani mmeshibana sana ndio anakuharibia maisha. Leo unamuona bonge la dili ila baadae unakuta yeye ndio amekuharibia vitu, ukija sikia unakufa kabisa. Wala huponi kwa dawa, sindano wala drip.
Kikubwa ni kuishi nao kwa akili.Your Worst Enemy Could Be Your Best Friend & Your Best Friend Your Worst Enemy.