Marafiki wa January Makamba na Wadau Neutral kimitizamo karibuni

Marafiki wa January Makamba na Wadau Neutral kimitizamo karibuni

Kichwamoto

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2019
Posts
3,403
Reaction score
4,692
Hello hello, nimetafakari sana sana kwa moyo wa dhati kabisa yanipasa kumpigania January Makamba kwa haki kabisa, nchi hii ina umpumbavu mwingi, makosa ya wazi kabisa ya maelekezo ya Marais kwa Mawaziri nyuma ya Pazia yakipata moto lawama wanabeba mawaziri.

Mfano, hii ishu ya tozo January aachwe kabisa, ilipoondolewa mlijamba furaha Leo imerudi mnajamba unafiki na maushuzi, Makamba is currently doing what we call long term plan, the ministry has its work schedule, he should be protected. Mpango kazi wa miaka mi5 kazi ziendelee, mende wote wanaotaka kumchafua waende wakaoge maji chumvi lake eyasi.
 
Hello hello, nimetafakari sana sana kwa moyo wa dhati kabisa yanipasa kumpigania January Makamba kwa haki kbsa, nchi hii inaumpumbavu mwingi makosa ya wazi kbsa ya maelekezo ya Marais kwa Mawaziri nyuma ya Pazia yakipata moto lawama wanabeba mawaziri, mfano.hii ishu ya tozo January aachwe kbsa, ilipoondolewa mlijamba furaha Leo imerudi mnajamba unafiki na maushuzi, Makamba is currently doing what we call long term plan, the ministry has its work schedule, he should be protected. Mpango kazi wa miako mi5 kazi ziendelee, mende wote wanaotaka kumchafua waende wakaoge maji chumvi lake eyasi.
Sawa mzee yusufu nimekusikia. Mpiganie mwanao
 
January hana mpango wa muda mrefu wala wa muda mfupi kwani hajui alifanyalo!! Angekuwa na mpango wa muda mrefu asingekuwa anadanganya danganya kuwa ukatikaji wa umeme ungekwisha baada ya siku kumi; halafu baada ya hapo anakuja na hadithi za kubadirisha vikombe !!! Mambo ya mafuta ndiyo yamemchanganya kabisa hana mbele wala nyuma because he is ignorant of the industry!
 
Hello hello, nimetafakari sana sana kwa moyo wa dhati kabisa yanipasa kumpigania January Makamba kwa haki kbsa, nchi hii inaumpumbavu mwingi makosa ya wazi kbsa ya maelekezo ya Marais kwa Mawaziri nyuma ya Pazia yakipata moto lawama wanabeba mawaziri, mfano.hii ishu ya tozo January aachwe kbsa, ilipoondolewa mlijamba furaha Leo imerudi mnajamba unafiki na maushuzi, Makamba is currently doing what we call long term plan, the ministry has its work schedule, he should be protected. Mpango kazi wa miako mi5 kazi ziendelee, mende wote wanaotaka kumchafua waende wakaoge maji chumvi lake eyasi.
Kalambe asali
 
Hello hello, nimetafakari sana sana kwa moyo wa dhati kabisa yanipasa kumpigania January Makamba kwa haki kbsa, nchi hii inaumpumbavu mwingi makosa ya wazi kbsa ya maelekezo ya Marais kwa Mawaziri nyuma ya Pazia yakipata moto lawama wanabeba mawaziri, mfano.hii ishu ya tozo January aachwe kbsa, ilipoondolewa mlijamba furaha Leo imerudi mnajamba unafiki na maushuzi, Makamba is currently doing what we call long term plan, the ministry has its work schedule, he should be protected. Mpango kazi wa miako mi5 kazi ziendelee, mende wote wanaotaka kumchafua waende wakaoge maji chumvi lake eyasi.
Chawa
 
January Makamba ni kama fuko la kinyesi. Halibebeki, halifichiki wala halipendeki.

Yani huyo naturally ana haiba ya kuchukiwa, hata afanye nini. Yeye na Steve Nyerere tofauti yao ndogo sana. Hakuna watalo fanya likakubalika bila kupingwa.
 
Wenye wivu na Makamba wanataka atatue matatizo lukuki ya kimuundo na hasara za miaka na miaka ya Tanesco kwa miezi aliyoingia 😆😆😆..

Wao watupe Suluhu ya haya mambo hapa 👇

Screenshot_20220410-084440.png


Screenshot_20220410-084749.png
 
January hana mpango wa muda mrefu wala wa muda mfupi kwani hajui alifanyalo!! Angekuwa na mpango wa muda mrefu asingekuwa anadanganya danganya kuwa ukatikaji wa umeme ungekwisha baada ya siku kumi; halafu baada ya hapo anakuja na hadithi za kubadirisha vikombe !!! Mambo ya mafuta ndiyo yamemchanganya kabisa hana mbele wala nyuma because he is ignorant of the industry!
Kwa hio wenye wivu nae wanamdanganya ili avae tope au huu ndio muda wa hata mama yenu kuiba ili awe bilionea ataibaje ? Tumieni akili ubilionea wa marais wastaafu hauji kibwege use 360%
 
January Makamba ni kama fuko la kinyesi. Halibebeki, halifichiki wala halipendeki.

Yani huyo naturally ana haiba ya kuchukiwa, hata afanye nini. Yeye na Steve Nyerere tofauti yao ndogo sana. Hakuna watalo fanya likakubalika bila kupingwa.
Umejisahaulisha mifuko ya Rambo vipi ipo mtaani ? Ushabiki wa kishetani muache, watu wanataka kupiga pesa wamempa kijana atafute expenditure items na kashawapa budget items, workplan na cost, Bi tozo mfukoni nje na urais alikua mweupe pamoja na kupewa safari za hapa na pale, Mama anaupiga mwingi yeye anacheka ila sifa ya kifedhuli hii ina kejeli nyingi sana
 
JIK Yenyewe Kumsafisha Haiwezi Je Anayetumwa Ataweza
Hamtamuweza January msiojua viroba vizito vya uwaziri, rais kama hajui ABC za maswala mengi ni shida sana ngoja tuwape muda mtaelewa, hii nchi kwa sasa iko hoi kiuchumi nyie pigeni kelele mmesahau mapato ya tozo za miamila wabongo akili fupi na upanzi mwingi
 
Kwa hio wenye wivu nae wanamdanganya ili avae tope au huu ndio muda wa hata mama yenu kuiba ili awe bilionea ataibaje ? Tumieni akili ubilionea wa marais wastaafu hauji kibwege use 360%

Kwavile wao ni mabwege ndiyo maana wanaiba kibwege!! Wanawatumia wahindi wakina Subash Patel, Rostam Azizi etc!!!
 
Back
Top Bottom