Mimi ni kijana wa kiume,ninaemani katika urafiki na marafiki kuwa ni watu muhimu san na Maisha ni watu na watu ndo maisha.ningependa kupata marafiki wa kike wa faida,tujumuike katika kupambana na maisha.
Aise jamaa utapata wengi sana kama huyu ambao jamaa zao wamezima simu kama mimi, tunapatikana humu tu simu tumefyuuuu
leo hadi tarehe 2/1/2018.
Hongera kwa kiwanda kipya