NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Ni nadra sana kukuta mwanaume anamwambia mwenzako kwamba anamjali.
Ukiwa na shida utapewa msaada kwa utani au kadhihaka fulani hivi, Kwa nje ni kama huwa hatutaki kusaidiana ama kujaliana lakini kwenye mioyo yetu kwa ndani huwa tunamaanisha.
kwenye kuomba tu msaada Kuna kaujeri kidogo, utasikia "we fala nitoe 10 hapo" nae anaetoa msaada atajibu "achia ulofa wewe pimbi, haya nitumie namba hio"
Kwa wale ambao wamefika 40 hivi ujana umeanza kuwakimbia kidogo huwa na busara katika maneno 😂😂 "Mzee mwenzangu nazalilika, embu fanya nipate laki mbili jioni nitakueleza yaliyonikuta tukiwa kijiweni" majibu: " Punguza dogodogo na mapresha hayo hutoboi 70, mtume kijana aje".
Ukiwa na shida utapewa msaada kwa utani au kadhihaka fulani hivi, Kwa nje ni kama huwa hatutaki kusaidiana ama kujaliana lakini kwenye mioyo yetu kwa ndani huwa tunamaanisha.
kwenye kuomba tu msaada Kuna kaujeri kidogo, utasikia "we fala nitoe 10 hapo" nae anaetoa msaada atajibu "achia ulofa wewe pimbi, haya nitumie namba hio"
Kwa wale ambao wamefika 40 hivi ujana umeanza kuwakimbia kidogo huwa na busara katika maneno 😂😂 "Mzee mwenzangu nazalilika, embu fanya nipate laki mbili jioni nitakueleza yaliyonikuta tukiwa kijiweni" majibu: " Punguza dogodogo na mapresha hayo hutoboi 70, mtume kijana aje".