sasa kwa nin uwa wanatuzingua saaanaaa ssisi watu wa mkoa... Oooohh naishi dar..!! ukija wanakukimbia.. Thats Mental SLAVERY
Ushauri mzuri sana huu, nadhani atauzingatia akija next time........Pole sana....kama walikupotezea hivyo....mbona jopo kubwa la JF lipo Dar....ungetumia fursa hiyo kuwatafuta.....Jf kuna watu wa ukweee....si kipolepole......
Eishhh, sasa wakuboe wengine uje ulalamike JF? Si ungewatumia msg ya kuwalalamikia hao maswahiba zako?wameniboa saanaaa........ tatizo naondoka kesho.. siwezi wacheki watu wa JF.... may be next tym
Khaa!Watu tunamitikasi yetu tuhangaike na Data wanini?? Usitupotezee wakati wewe watujua???
HA ha haa ha ha mweeeeeeeeeeee kalale na kesho uende zako
Ebo! Kweli umeumizwa, pole.avatar yako iko tofauti na fikra zako...Sikumaanisha maarafiki wa JF... nilimaanisha marafiki wangu wa ukweli... nawajua,wananijua,, KAFUE NGUO!!!!!!!!!!!!!!!!
Ishh! Kumbe ndo maana wanakukimbia.........! Au ndo yamekuwa kama anavyosema manajamii hapa chini?bakini na mji wenu wa giza,mijasho,uchafu... Gizaa, to hell
Sizitaki mbichi hizi, Sungura akagumia,Hadithi inayokuja, ni ya sungura sikia,
alitoka siku moja, porini kutembelea,
akayaona matunda, mtini yameenea,
mtini yameenea, sungura nakuambia............
........................................
..................................
Sungura karuka ruka, mtini akarukia,
mwisho wake akachoka, kachoka hata mkia,
kwenye mti akatoka, pembeni akasogea,
pembeni akasogea, sungura nakuambia!
Dah!! e bana nimesahau muendelezo wa hili shairi; wadau naomba mnikumbushe basi!! Au kwenye vitabu vya watoto wa siku hizi hamna hili shairi? manake nataka nifikie pale ambapo baada ya mzee sungura kuruka sana na kushindwa kuyapata matunda; mshikaji ikabidi aponde "sizitaki mbichi hizi!"
Endelea kujidanganya na kujipa moyo, maisha lazima yasonge mbele.wameona so kwa sababu wanajua umeshawapiga gepu lakutosha tu kimaisha, wenyewe wanang'amg'ania daresalama mjini lakini ndo hivyo unakuta maendeleo yao ni kiduchu sana
Ndugu dar maisha magumu, foleni kibao, hussling ndo usiseme unakuta hata siku haikutoshi kuonana inaweza kuwa ngumu. Pia nyumba zetu za kupanga hizi chumba kimoja au ukijitahidi na kasebule, choo cha uani hakina hata paa, aibu kaka. Utamkaribishaje mshkaji wako ambaye kwenye facebook umemfanya aamini mambo yako super na kumbe reality ni tofauti. Hali inatisha mkuu..usiogope.
Endelea kujidanganya na kujipa moyo, maisha lazima yasonge mbele.
yanasonga mbele kama hiyo avatar ya babu
....hivi, mnaosema muda hautoshi...mbona vikao kama hivi
...hamkosekani?...au "muda" wa ndugu jamaa na "marafiki" tu ndio hamna?
"Marafiki wanaoishi ar sio kabisa....nimefika stendi sijamkuta hata BW kunipokea na wakati tuliahidiana, anadai yuko bize".
Watu wengi wanawatafuta "marafiki" zao wakati wakiwa na "pesa za kutumia" au kuwaonyesha "vitz" mitumba waliyonunua...
He! hapa wapi tena!
Halafu mbona inaonekana ni mchana mchana!