Ikumbilo
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 455
- 64
sasa kwa nin uwa wanatuzingua saaanaaa ssisi watu wa mkoa... Oooohh naishi dar..!! ukija wanakukimbia.. Thats Mental SLAVERY
Unalolisema ni la ukweli, wengine wanafikiria una Njaa, hata ukiwapigia simu utasikia niko busy, busy gani hiyo? Hata saa moja tu nalo litakukosesha mapato? Pengine wanaogopa labda hali walizonazo sio ndio maana hawataki mkutane. Acheni hizo.