Marafiki,wapwa na mabinamu kuelekea dodoma!..........

Nimeipenda hii

tupo ndani ya changes, na tumesha-change, lakini tunaweza kuweka changes... if we change a few things

Roger that Kaizer

Dodoma is a nice place on saturday
 
........Huko dodoma kutakuwa hakutoshi hiyo week ijayo, hotel zote zitakuwa nyomi maana waalikwa ni wengi mno.
 
Askofu atahitajika kwenye safari kwa ajili ya kutufanyia maombi sijuiatakuja na Sista Gabriella
 
Unasalimiwa na Diana.....


ee Bwana NN on a serious note hebu cheki na Kiranga kama yupo interested kwenda kushuhudia mambo ya mjengoni LIVE...of course Regia atakuwa M. rasmi...
 
ee Bwana NN on a serious note hebu cheki na Kiranga kama yupo interested kwenda kushuhudia mambo ya mjengoni LIVE...of course Regia atakuwa M. rasmi...

Regia akim-Shy-Rose Kiranga utaamulia?
 
HA HA HA!
my dear,
huu ni mkao wa ''ki-rafiki zaidi''

nakuhakikishia tu unaweza kuja na LILIAN,QUEENKAMI NA DIANA wote kwa pamoja provided you can handle them babies
asante kwa uangalizi huu. double diff pia anakaribishwa
 
HA HA HA!
my dear,
huu ni mkao wa ''ki-rafiki zaidi''

nakuhakikishia tu unaweza kuja na LILIAN,QUEENKAMI NA DIANA wote kwa pamoja provided you can handle them babies

:coffee::coffee::coffee:
 
Nawatakia kila la kheri katika safari yenu, Ningependa sana kuungana nanyi, lakini sababu zilizo nje ya uwezo wangu zimenikosesha upendo. KAZI NA DAWA
 
ee Bwana NN on a serious note hebu cheki na Kiranga kama yupo interested kwenda kushuhudia mambo ya mjengoni LIVE...of course Regia atakuwa M. rasmi...
sasa kaizer naona unataka kuendeleza libe ohoooo

keep left
 
Niko naye tunaelekea byuroo......halafu huko Dom vipi, byuroo zipo?
hahahahaha!
muzee wa byuroo nakuhakikishia zipo.....!

ngoja nakupigia hapa......!ok ok
 
mimi nitakuja ila sina usafiri....mwenye seat ya ziada pleeeez
 
........Huko dodoma kutakuwa hakutoshi hiyo week ijayo, hotel zote zitakuwa nyomi maana waalikwa ni wengi mno.
Hee! ulikuwa wapi swty hat! siku mingi no see ya!
 
mimi nitakuja ila sina usafiri....mwenye seat ya ziada pleeeez

Wasiliana nami......niPM, niandikie barua pepe, au nitwangie kwenye simu......kama hutaki kwenda nami nitamwamuru dereva wa bajaji yangu akupeleke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…