Marafiki,wapwa na mabinamu kuelekea dodoma!..........

Marafiki,wapwa na mabinamu kuelekea dodoma!..........

mimi nitakuja ila sina usafiri....mwenye seat ya ziada pleeeez
PJ ata-do ze needful kwenye upande wa siti, we acha tukutuku yako pale babati, kamata yale mabasi marefu kama treni, then PJ ataleta wewe.
Mimi nita-do ze needful kwenye upande wa kitanda.
 
Wasiliana nami......niPM, niandikie barua pepe, au nitwangie kwenye simu......kama hutaki kwenda nami nitamwamuru dereva wa bajaji yangu akupeleke

asante...nakupigia saa hii....hivi bajaj yako ni manual au auto?

 
PJ ata-do ze needful kwenye upande wa siti, we acha tukutuku yako pale babati, kamata yale mabasi marefu kama treni, then PJ ataleta wewe.
Mimi nita-do ze needful kwenye upande wa kitanda.
you can say it again AND AGAIN AND AGAIN!
 
sasa kaizer naona unataka kuendeleza libe ohoooo

keep left

Orait orait wakati mwingine HALI HALISI inakuwa ngumu kukubalika....lakini ndio hali halisi mkuu! hivi nimeendeshea kulia?
 
hakuta kuwa na kituo chochote cha kuchimba dawa..............
 
asante...nakupigia saa hii....hivi bajaj yako ni manual au auto?


Full auto...leather seats, wood grain on the dash board....in a nutshell....it's pimped out with 12" platinum rims
 
mpaka sasa nimeshapata pm 15 watu wanaulizia kama niutani au serious

sasa mimi sitawajibu kwa pm,na wajibu hapa hapa:
NINYI MLIOTUMA PM HIVI NIMEWAHI KUWA WATANI ZENU?
 
hakuta kuwa na kituo chochote cha kuchimba dawa..............
Tutaona kama wewe ndo utaamua au mdau Rozi! turn right, go straight, 200meters. then (:kiss::hug::hug::first:) then :car:
 
hahahaaaaa.... hiyo safari si itakua balaa mkuu, yani acid na preta ndani ya motorcycle

Yesu kristu na babake aisee, kiruu
LABDA UNIAMBIE unaogopa kuendesha pikipiki
 
hahahaaaaa.... hiyo safari si itakua balaa mkuu, yani acid na preta ndani ya motorcycle

Yesu kristu na babake aisee, kiruu

Preta atakaa kwa nyuma halafu atakushikilia na mikono yake huku kakuinamia kidogo....lol....sijui mtafika huko muendako?
 
Tutaona kama wewe ndo utaamua au mdau Rozi! turn right, go straight, 200meters. then (:kiss::hug::hug::first:) then :car:
ha ha ha!
hapo lazima mpate ajali hapo!
 
Back
Top Bottom