PJ ata-do ze needful kwenye upande wa siti, we acha tukutuku yako pale babati, kamata yale mabasi marefu kama treni, then PJ ataleta wewe.mimi nitakuja ila sina usafiri....mwenye seat ya ziada pleeeez
Wasiliana nami......niPM, niandikie barua pepe, au nitwangie kwenye simu......kama hutaki kwenda nami nitamwamuru dereva wa bajaji yangu akupeleke
Special seat!Naona umekaa kijinsia zaidi
sasa kaizer naona unataka kuendeleza libe ohoooo
keep left
asante...nakupigia saa hii....hivi bajaj yako ni manual au auto?
you can say it again AND AGAIN AND AGAIN!
bajaji?
hahahaaaaa.... hiyo safari si itakua balaa mkuu, yani acid na preta ndani ya motorcyclewewe utapanda pikipiki ya acid....!
Regia akim-Shy-Rose Kiranga utaamulia?
hivi zinaingia lini?au ndo hizi bajaji-za-kisasa ambazo mwenye nchi aliahidi zitakuwa AMBULANCE?
Tutaona kama wewe ndo utaamua au mdau Rozi! turn right, go straight, 200meters. then (:kiss::hug::hug::first:) then :car:hakuta kuwa na kituo chochote cha kuchimba dawa..............
hahahaaaaa.... hiyo safari si itakua balaa mkuu, yani acid na preta ndani ya motorcycle
Yesu kristu na babake aisee, kiruu
Vipi kwani? mbona unanionea gere?