Marafiki,wapwa na mabinamu kuelekea dodoma!..........

Orait baada ya kuongea muda mrefu na laaziz wangu Mama Big naye amesema anataka kuwepo kwenye safari kwahiyo nitakuja nae
 
Tutaona kama wewe ndo utaamua au mdau Rozi! turn right, go straight, 200meters. then (:kiss::hug::hug::first:) then :car:


ivi Big, Huyo Rose atapanda tukutuku la nani hasa?:israel:
 
mpaka sasa nimeshapata pm 15 watu wanaulizia kama niutani au serious

sasa mimi sitawajibu kwa pm,na wajibu hapa hapa:
NINYI MLIOTUMA PM HIVI NIMEWAHI KUWA WATANI ZENU?
Hommie baelezee bana unafikiri kazi tulioifanya ya kutembea na picha ya Mh. Mnyika na Mh. Mdee kila Bar huku tukiimba Chadema tunapanda mlima......CCM wanashuka mazima haikua kazi ndogo atii.....😛eace:
 
Haya bintiz wa JF
nimeoa na nimeruhusiwa kujiunga na safari.
natafuta binti wa kunidanganya tukiwa safarini huko.
Sharti lizingatiwe tafadhali
 
Haya bintiz wa JF
nimeoa na nimeruhusiwa kujiunga na safari.
natafuta binti wa kunidanganya tukiwa safarini huko.
Sharti lizingatiwe tafadhali

Nina Jannell hapa.....nikupatie?
 
Hivi
ya kwenda dodoma inapitika kwa pawa tila....?
 
Hommie baelezee bana unafikiri kazi tulioifanya ya kutembea na picha ya Mh. Mnyika na Mh. Mdee kila Bar huku tukiimba Chadema tunapanda mlima......CCM wanashuka mazima haikua kazi ndogo atii.....😛eace:

The Following User Says Thank You to Kimey For This Useful Post:

generation-Y (Today)​
 
Hommie baelezee bana unafikiri kazi tulioifanya ya kutembea na picha ya Mh. Mnyika na Mh. Mdee kila Bar huku tukiimba Chadema tunapanda mlima......CCM wanashuka mazima haikua kazi ndogo atii.....😛eace:

Watu hadi wamama wa chama cha kijani wakaja kunywa vimiminika vyetu pale Fea Wei baada ya kuona Chadema tunapanda kweli kweli
 
Naomba mniombee Ruhusa kwa mama big aniruhusu nije kuwa sehemu ya change.
 
........Kama ujuavyo mpenzi mambo ya kampeni yalinifanya niwe busy mno.
"The great pleasure in life is doing what people say you cannot do."🙂

I hope you did get the pleasure you were looking for.
Sasa mpango wa dodoma napata lift siti ya nyuma ya tukutuku yako?
 

My dear naomba unishikie nafasi kwenye tukutuku usisahau eeeehhhh:cheer2:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…