chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Kuna watu tunahoji nini kilimshinda Anthony Mtaka mpaka akahamishiwa Njombe huko kwenye mashamba ya mbao na parachichi, kutoka katika Jiji kuu la kisiasa? . Dodoma ni mahala ambapo angeweza kun'gaa lakini ameporomoka.
Anthony Mtaka anashinda kutwa katika makundi ya wasap ya wanachadema wakichangishana michango, na ni mtu wa karibu na wanachadema. Yanamchukulia muda anashindwa kushughulikia shida za wananchi.
Kinachomponza ni arrogance na ujivuni, na kimsingi, huko kwenye asili yake Wana tabia hiyo sana i.e. akina yego Jaji na yego chikaka
Aache hayo, atasonga mbele.
Anthony Mtaka anashinda kutwa katika makundi ya wasap ya wanachadema wakichangishana michango, na ni mtu wa karibu na wanachadema. Yanamchukulia muda anashindwa kushughulikia shida za wananchi.
Kinachomponza ni arrogance na ujivuni, na kimsingi, huko kwenye asili yake Wana tabia hiyo sana i.e. akina yego Jaji na yego chikaka
Aache hayo, atasonga mbele.