Marafiki zetu mtusamehe sana

Marafiki zetu mtusamehe sana

[emoji23][emoji23][emoji23] dada, yule Ex akati anajifanya kutaka turudiane, nilimjibu simple tyuuh.

"Wee kiumbe wa watu usinilazimishee niende Jelaa, jinaii niliyonayo inatoshaa, hii ya mauaji siihitaji"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hajarudiaa tenaa.
😄😄😄Nimecheka....

Kwanza hata muda wa kuzungumza naye yote hayo umeupata wapi?
 
kakufanyaje kikubwa ndugu hadi umkane hvyo?
Kwanza nichekeee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa kifupiii tyuuh, nilijitoa kwake kwa hali na mali, nilijinyima mie ili yeye afurahii na ahisi anapendwaa, ila alichokujaa kunifanyiaa!!!

Baas itoshe kusemaa, mjanja yeye. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanza nichekeee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa kifupiii tyuuh, nilijitoa kwake kwa hali na mali, nilijinyima mie ili yeye afurahii na ahisi anapendwaa, ila alichokujaa kunifanyiaa!!!

Baas itoshe kusemaa, mjanja yeye. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
pole sana,ujue wanadamu tunatofautiana alafu wengine unapijitoa kwao wanadhani unajipendekeza kumbe ni kujali na watu wa aina hyo wapo katika jamii kikubwa ni umeshamuepuka tizama mbele,ubarikiwe!
 
Back
Top Bottom