😄😄😄Nimecheka....[emoji23][emoji23][emoji23] dada, yule Ex akati anajifanya kutaka turudiane, nilimjibu simple tyuuh.
"Wee kiumbe wa watu usinilazimishee niende Jelaa, jinaii niliyonayo inatoshaa, hii ya mauaji siihitaji"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hajarudiaa tenaa.
Ktk taasisi ipii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Coca upo section gani kwani?
kakufanyaje kikubwa ndugu hadi umkane hvyo?Hapo kwenye ma Ex, hapanaaaaa!! Kuna huyo Ex sio rafiki wala mtu wa karibu, yule ni adui yanguu had siku nafukiwa chinii.
Nweiiiiii marafiki zetu, ujumbe upo hukuu, mkujee msomeee.
Yaan hadi dkk hii yeye bado anapumua na kula ugali.na anashiba, msamaha tosha kabisa tena mkubwaa haswaa.Hahahahaha!! Kuachana sio uadui bhana msamehe tu
Why maex hapana😃😃Hapo kwenye ma Ex, hapanaaaaa!! Kuna huyo Ex sio rafiki wala mtu wa karibu, yule ni adui yanguu had siku nafukiwa chinii.
Nweiiiiii marafiki zetu, ujumbe upo hukuu, mkujee msomeee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbwaa yule king'ang'a sijawahi ona dada,[emoji1][emoji1][emoji1]Nimecheka....
Kwanza hata muda wa kuzungumza naye yote hayo umeupata wapi?
Kwanza nichekeee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kakufanyaje kikubwa ndugu hadi umkane hvyo?
Sio ma ex wote, hapanaa ni huyu pekee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Why maex hapana[emoji2][emoji2]
Alikufaidi sana huyo exHapo kwenye ma Ex, hapanaaaaa!! Kuna huyo Ex sio rafiki wala mtu wa karibu, yule ni adui yanguu had siku nafukiwa chinii.
Nweiiiiii marafiki zetu, ujumbe upo hukuu, mkujee msomeee.
[emoji23][emoji23][emoji23] em sema kweliii.??Alikufaidi sana huyo ex
pole sana,ujue wanadamu tunatofautiana alafu wengine unapijitoa kwao wanadhani unajipendekeza kumbe ni kujali na watu wa aina hyo wapo katika jamii kikubwa ni umeshamuepuka tizama mbele,ubarikiwe!Kwanza nichekeee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kifupiii tyuuh, nilijitoa kwake kwa hali na mali, nilijinyima mie ili yeye afurahii na ahisi anapendwaa, ila alichokujaa kunifanyiaa!!!
Baas itoshe kusemaa, mjanja yeye. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli kbs[emoji23][emoji23][emoji23] em sema kweliii.??
Ameen!! [emoji120][emoji120]pole sana,ujue wanadamu tunatofautiana alafu wengine unapijitoa kwao wanadhani unajipendekeza kumbe ni kujali na watu wa aina hyo wapo katika jamii kikubwa ni umeshamuepuka tizama mbele,ubarikiwe!
Wachaa wee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli kbs
Mbona huyu shikamkono01 amedislike comment yako? Au ndio huyo ExWachaa wee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio Y tu mwambie na KY jelly piaHad Y wapoo.
😀😀 dunia nzito hiiKwan na watu wa section yenu huwa mna ma x?
Mara nyingi urafiki unakua oppotunistic especialy kwa wanawake lakini urafiki ukidumu miaka 10+ sana sana ule urafiki wa kukutana shule au chuo huo unakua urafiki wa kweliMimi huwa siamini katika urafiki kamwe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muambie ani ignore kabisaa.Mbona huyu shikamkono01 amedislike comment yako? Au ndio huyo Ex