Marafiki zetu mtusamehe sana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu tulizanaa ninywe kwanza majiu nipooze kifua. Lol

Puliiiz naomba unambie nijue kifungu kingine cha kuongezea tusali kwa pamoja, huku tunawasha ubani na manemane [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja nikuchekeshee kitu, nenda selfika.

Selfika imefunguliwa?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nitag nije kucheka
 
dah! nimesoma kwa machungu sana ni juzi tu jamaa angu kaniomba 20k kwakua nilikuwa sina nikavunga sasa jana kanitumia message mwanangu dharau umeanza lini aisee nimeumia sana ....
Inaumiza sana friends wanaposhindwa kutuelewa yani
 

Watusamehe sana ila Bado mpo akilini na Moyoni Mwetu, TUNAWAPENDA na kuwathamini sana.

#Our Real G🥇
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…