Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,305
kwan ukipunguza au ukiacha na uyo jamaa urafiki utapungua nin?just for the sake of ya marriage.hubby hapnes?Mipaka ipo sana tena hata home kama kuna issue wanakuwa wa kwanza kufika sherehe, misiba nk nami kwao hivyo hivyo
Lakini jamaa haamini kama tunaishia hivyo wajameni
mpe aman ya moyo mumeo ...achana unarafiki km upo bachelor...au urafiki ni mzito zaid kuliko aman ya mumeo?