kwan ukipunguza au ukiacha na uyo jamaa urafiki utapungua nin?just for the sake of ya marriage.hubby hapnes?Mipaka ipo sana tena hata home kama kuna issue wanakuwa wa kwanza kufika sherehe, misiba nk nami kwao hivyo hivyo
Lakini jamaa haamini kama tunaishia hivyo wajameni
kwan ukipunguza au ukiacha na uyo jamaa urafiki utapungua nin?just for the sake of ya marriage.hubby hapnes?
mpe aman ya moyo mumeo ...achana unarafiki km upo bachelor...au urafiki ni mzito zaid kuliko aman ya mumeo?
well defined mkuu, urafiki wa jinsia tofauti ni urafiki wa mitego. labda kama mdada wenyewe "bullet proof" , hapo haina shida lakini kama mdada kakicheka unajiona kwenye meno yake. khaaaa! wabakaji wapunguziwe adhabu jamani!urafiki wa jinsia tofauti ni urafiki wa mashaka. Kwanza ujue mnapenda ndio maana mpo marafiki kwa hiyo ni rahisi kuubadili huwa urafiki wa kawaida kwenda kwenye..........tunaita kuu-upgrade.
Mimi nafikiri wanaume wengi huwa hawapendi kabisa wake zao wawe na marafiki wa kiume.....kuna kawivu fulani hivi, unaweza tu ukaona hata majibu wanayotoa wakaka wa humu JF...:roll:
sio kawivu. wataalam wanasema mwanamke anapenda kwa mazowea, hivo mwanamke akimzoea mwanaume sana kinachofatia ni kumpenda na akimpenda nazani unajua nini kitafata ...................
Kwa maoni yangu hakuna ubaya lakini wakati mwingine urafiki huo huweza kugeuka na kuwa mapenzi baada ya mmoja wa wahusika kutoheshimu mipaka ya urafiki.
Si marafiki wa humu marafiki wa nje ya hapa asiyenielewa ni muzeee wangu
Ni kweli kabisa, wazee wengine wanakuwa wakali/watata katika hii pengine ni kutokana na uzoefu walioupata kutokana na kuangalia urafiki wa wengine au kwa kujiangalia yy mwenyewe wakati alipokua na age sawa na yako alikuaje na hao rafiki zake. Lkn hawezi kukukataza kama ktk mtazamo wake ubaya haupo.
labda tabia zako ni za mahska ndo mana hueleweki