Kuna neno linalomstahili hiyo jamaa lakini sitalitumia kuogopa kukiuka sheria na kanuni za jamvi, lakini nafikiri alitoa maneno hayo akiwa WCClearly hujui unaongea nini, bomba la mafuta linahusiana vipi na hicho unachoongelea!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna neno linalomstahili hiyo jamaa lakini sitalitumia kuogopa kukiuka sheria na kanuni za jamvi, lakini nafikiri alitoa maneno hayo akiwa WCClearly hujui unaongea nini, bomba la mafuta linahusiana vipi na hicho unachoongelea!?
bila kusahau six lane holili to namanga.
whaaaat!?Mungu ibariki Afrika
Wabariki viongozi wake
Hekima umoja na amani
Hizi ni ngao zetu
Afrika na watu wake
Ibariki Afrika
Ibariki Afrika
Tubariki watoto wa Afrika
yesUna uhakika na ulichokiandika?
Sometimes huwa unaongeaga mamba ya maana sana,Asante kwa kuniita huku Cicero hongera zenu kama itatendeka, fahamu sisi ni manyangau wa kibepari na huwa hatuna majungu kwenye ushindani wa biashara. Sisi sio kama nyie Watanzania ambao huwa mnalialia kwa kila jambo. Biashara haina mambo ya undugu, ni mikakati na maslahi na ikitokea umeshindwa kimikakati basi unakubali na kuachia.
Hili la bomba ikitokea hatimaye imeishia kujengwa kupitia Tanga, basi tutawapa hongera na kufanya mengine yanayotuhusu. Lakini kwa sasa bado tupo uwanjani na mumefunga bao la kwanza na la pili, sisi kama manyang'au tutafanya yetu kimikakati, tutaibuka na mbinu nyingine hadi tumburuze Museveni kwa pua, akigoma hadi mwisho basi tunaanchia bila hard feelings.
Mojawapo wa miikakati yetu itakua ni kuanza ujenzi wa bomba lenyewe maana tayari tuna mafuta, sasa hapo tunatumia huo ujenzi kumtongoza maana ataona kazi inafanyika tayari sio zile ngonjera za Wabongo. Nyie mikakati yenu eti mnafuata mambo ya undugu kwa kumkumbushia Museveni kwamba mlimsaidia kunyakua madaraka. kazi kweli, mnapenda sana kuchanganya biashara na undugu ambapo haziendani, sasa hivi hiyo route yenu ndio inafaa kwa kweli tukipiga mahesabu, na badala kuwa wajanja mtumie huo ukweli, mnaongea mambo ya undugu wenu na Museveni.
Magu sometimes huwa bi mchapiaji mzuri...Hilo bomba litasafirisha mafuta kutoka Uganda hadi bandari ya Tanga ama kupeleka mafuta Uganda? Nilimsikia Magu akisema kutoka Tanga kwenda Uganda. Lakini ninavyoelewa ni kuwa bomba ni kwa minajili ya export ya mafuta ya Uganda.
Katika vitu ambavyo naona siasa imetamalaki ni hyo project, google uone ni wapi imetokea project ya border to borderbila kusahau six lane holili to namanga.
UJENZI KUANZA MWEZI AUGUST...........Katika mazungumzo hayo pamoja na mambo mengine wamekubaliana kujengwa kwa bomba la kusafirisha mafuta kutoka Bandari ya Tanga nchini Tanzania hadi nchini Uganda.
Rais Museveni amemtembelea Rais Magufuli katika Ikulu ndogo ya Arusha leo jioni mara baada ya kuwasili hapa nchini akitokea nchini Uganda, ambapo hapo kesho atahudhuria Mkutano Mkuu wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, utakaofanyika katika Hoteli ya Ngurudoto Jijini Arusha.
Akizungumza baada ya viongozi hao kufanya mazungumzo ya faragha, Rais Magufuli amesema wamekubaliana kutekeleza mradi huo wa bomba la kusafirisha mafuta kutoka Tanga hadi Uganda, kwa manufaa ya nchi zote mbili na nchi nyingine za Afrika Mashariki.
Amesema bomba hilo litakuwa na urefu wa kilometa 1,120 na kwamba mradi huo utazalisha ajira za watu zaidi ya 15,000.
Rais Magufuli ameongeza kuwa pamoja na kujengwa kwa bomba la mafuta, pia wamezungumzia kuongeza biashara ndani ya nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki, kujenga viwanda na kuzalisha ajira zaidi kupitia sekta mbalimbali za uzalishaji mali.
Aidha, Rais Magufuli amesema katika Mkutano huu nchi wanachama watajadili maombi ya nchi ya Sudan Kusini kupata uanachama ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Amebainisha kuwa, kwa Sudan Kusini kuwa mwanachama Jumuiya ya Afrika Mashariki, itakuwa na uwezo wa kufanya biashara katika eneo lenye takribani watu milioni 150 na hivyo kupata manufaa makubwa zaidi.
Kwa upande wake Rais Yoweri Kaguta Museven pamoja na kuunga mkono yaliyosemwa na Rais Magufuli amempongeza kwa kasi yake nzuri aliyoanza nayo katika uongozi, na amesema ni matumaini yake kuwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, sasa zitakuwa katika nafasi nzuri ya kwenda kwa kasi ya Rais Magufuli katika maendeleo.
Chanzo: EATV
Wakenya imewauma sana sana... Walishachora ramani ikionyesha bandari ya Tanga ipo ndani ya ziwa Victoria..ili kuupotosha ulimwengu...lakini haikusaidia.Katika mazungumzo hayo pamoja na mambo mengine wamekubaliana kujengwa kwa bomba la kusafirisha mafuta kutoka Bandari ya Tanga nchini Tanzania hadi nchini Uganda.
Rais Museveni amemtembelea Rais Magufuli katika Ikulu ndogo ya Arusha leo jioni mara baada ya kuwasili hapa nchini akitokea nchini Uganda, ambapo hapo kesho atahudhuria Mkutano Mkuu wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, utakaofanyika katika Hoteli ya Ngurudoto Jijini Arusha.
Akizungumza baada ya viongozi hao kufanya mazungumzo ya faragha, Rais Magufuli amesema wamekubaliana kutekeleza mradi huo wa bomba la kusafirisha mafuta kutoka Tanga hadi Uganda, kwa manufaa ya nchi zote mbili na nchi nyingine za Afrika Mashariki.
Amesema bomba hilo litakuwa na urefu wa kilometa 1,120 na kwamba mradi huo utazalisha ajira za watu zaidi ya 15,000.
Rais Magufuli ameongeza kuwa pamoja na kujengwa kwa bomba la mafuta, pia wamezungumzia kuongeza biashara ndani ya nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki, kujenga viwanda na kuzalisha ajira zaidi kupitia sekta mbalimbali za uzalishaji mali.
Aidha, Rais Magufuli amesema katika Mkutano huu nchi wanachama watajadili maombi ya nchi ya Sudan Kusini kupata uanachama ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Amebainisha kuwa, kwa Sudan Kusini kuwa mwanachama Jumuiya ya Afrika Mashariki, itakuwa na uwezo wa kufanya biashara katika eneo lenye takribani watu milioni 150 na hivyo kupata manufaa makubwa zaidi.
Kwa upande wake Rais Yoweri Kaguta Museven pamoja na kuunga mkono yaliyosemwa na Rais Magufuli amempongeza kwa kasi yake nzuri aliyoanza nayo katika uongozi, na amesema ni matumaini yake kuwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, sasa zitakuwa katika nafasi nzuri ya kwenda kwa kasi ya Rais Magufuli katika maendeleo.
Chanzo: EATV
Katika mazungumzo hayo pamoja na mambo mengine wamekubaliana kujengwa kwa bomba la kusafirisha mafuta kutoka Bandari ya Tanga nchini Tanzania hadi nchini Uganda.
Rais Museveni amemtembelea Rais Magufuli katika Ikulu ndogo ya Arusha leo jioni mara baada ya kuwasili hapa nchini akitokea nchini Uganda, ambapo hapo kesho atahudhuria Mkutano Mkuu wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, utakaofanyika katika Hoteli ya Ngurudoto Jijini Arusha.
Akizungumza baada ya viongozi hao kufanya mazungumzo ya faragha, Rais Magufuli amesema wamekubaliana kutekeleza mradi huo wa bomba la kusafirisha mafuta kutoka Tanga hadi Uganda, kwa manufaa ya nchi zote mbili na nchi nyingine za Afrika Mashariki.
Amesema bomba hilo litakuwa na urefu wa kilometa 1,120 na kwamba mradi huo utazalisha ajira za watu zaidi ya 15,000.
Rais Magufuli ameongeza kuwa pamoja na kujengwa kwa bomba la mafuta, pia wamezungumzia kuongeza biashara ndani ya nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki, kujenga viwanda na kuzalisha ajira zaidi kupitia sekta mbalimbali za uzalishaji mali.
Aidha, Rais Magufuli amesema katika Mkutano huu nchi wanachama watajadili maombi ya nchi ya Sudan Kusini kupata uanachama ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Amebainisha kuwa, kwa Sudan Kusini kuwa mwanachama Jumuiya ya Afrika Mashariki, itakuwa na uwezo wa kufanya biashara katika eneo lenye takribani watu milioni 150 na hivyo kupata manufaa makubwa zaidi.
Kwa upande wake Rais Yoweri Kaguta Museven pamoja na kuunga mkono yaliyosemwa na Rais Magufuli amempongeza kwa kasi yake nzuri aliyoanza nayo katika uongozi, na amesema ni matumaini yake kuwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, sasa zitakuwa katika nafasi nzuri ya kwenda kwa kasi ya Rais Magufuli katika maendeleo.
Chanzo: EATV
Asante kwa kuniita huku Cicero hongera zenu kama itatendeka, fahamu sisi ni manyangau wa kibepari na huwa hatuna majungu kwenye ushindani wa biashara. Sisi sio kama nyie Watanzania ambao huwa mnalialia kwa kila jambo. Biashara haina mambo ya undugu, ni mikakati na maslahi na ikitokea umeshindwa kimikakati basi unakubali na kuachia.
Hili la bomba ikitokea hatimaye imeishia kujengwa kupitia Tanga, basi tutawapa hongera na kufanya mengine yanayotuhusu. Lakini kwa sasa bado tupo uwanjani na mumefunga bao la kwanza na la pili, sisi kama manyang'au tutafanya yetu kimikakati, tutaibuka na mbinu nyingine hadi tumburuze Museveni kwa pua, akigoma hadi mwisho basi tunaanchia bila hard feelings.
Mojawapo wa miikakati yetu itakua ni kuanza ujenzi wa bomba lenyewe maana tayari tuna mafuta, sasa hapo tunatumia huo ujenzi kumtongoza maana ataona kazi inafanyika tayari sio zile ngonjera za Wabongo. Nyie mikakati yenu eti mnafuata mambo ya undugu kwa kumkumbushia Museveni kwamba mlimsaidia kunyakua madaraka. kazi kweli, mnapenda sana kuchanganya biashara na undugu ambapo haziendani, sasa hivi hiyo route yenu ndio inafaa kwa kweli tukipiga mahesabu, na badala kuwa wajanja mtumie huo ukweli, mnaongea mambo ya undugu wenu na Museveni.