Marais Uhuru na Magufuli walitaniana kuhusu uzuri wa dada yetu waziri

Tanzania yote huwa kuna ushabiki wa Yanga vs Simba, Mondi vs Kiba.... Sasa hao wafalme wawili wa kwenu Mondi na Kiba wamefuataa Kenya...
Hao ni kwa matakwa na hisia zao.
Hivi buddah umefika Manyara ??
Fika ukaone totoz kule nzuri sio km wakisii wanaofanana na mwai kibaki.
 
jiwe huwa hatanii siku zote anasema ukweli,alitaka bi waziri abaki tz
 
..angekutana na Waziri Amina ndiyo angechanganyikiwa zaidi.

..lakini mimi niliona kama utani ule ulikuwa kinyume na maadili, au unprofessional.
 
Hao ni kwa matakwa na hisia zao.
Hivi buddah umefika Manyara ??
Fika ukaone totoz kule nzuri sio km wakisii wanaofanana na mwai kibaki.

Huko kote nimekatiza, nimekwenda hadi Karatu na Ngorongoro, dada zenu Wambulu Wairaq nawafahamu fika.
 
..angekutana na Waziri Amina ndiyo angechanganyikiwa zaidi.

..lakini mimi niliona kama utani ule ulikuwa kinyume na maadili, au unprofessional.

Duh bro, punguza presha...kuna light moments in life, hapa utakuta hata wake zao hawa marais walicheka pia maana ni utani wa kawaida.
 
Duh bro, punguza presha...kuna light moments in life, hapa utakuta hata wake zao hawa marais walicheka pia maana ni utani wa kawaida.

..bwana mkubwa has a reputation of being gaffe-prone.

..ni utani lakini haufai ktk mazingira ya kikazi.

..ila ndiyo hivyo tena, mkubwa hakosei.
 
Duh bro, punguza presha...kuna light moments in life, hapa utakuta hata wake zao hawa marais walicheka pia maana ni utani wa kawaida.
Kabisa sio kwakua ni rais ndo unuuuune tu kila siku,maisha yenyewe yako wapi..wacha mapenzi yatawale..!!
 
Kabisa sio kwakua ni rais ndo unuuuune tu kila siku,maisha yenyewe yako wapi..wacha mapenzi yatawale..!!

..hatakiwa awe serious wakati wote.

..anaweza kutania, lakini siyo utani unao-embarass watu wengine.
 
Tanzania yote huwa kuna ushabiki wa Yanga vs Simba, Mondi vs Kiba.... Sasa hao wafalme wawili wa kwenu Mondi na Kiba wamefuataa Kenya...
Wasichana wa bongo awataki hao jamaa. Malaya Sana. Ndio maana wanakimbilia Uganda na Kenya.
 
Hao ni kwa matakwa na hisia zao.
Hivi buddah umefika Manyara ??
Fika ukaone totoz kule nzuri sio km wakisii wanaofanana na mwai kibaki.
Some body mzalendo ndio anafanana na mwai kibaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…