BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Ni kumbukizi ya miaka miwili tangu Kifo cha aliyekuwa Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, maarufu kama JPM au Chuma.
Aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo, ambaye sasa ni Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, alitangaza kifo cha Hayati Maguli Machi 17, 2021 kilichotokea saa 12 jioni katika Hospitali ya Mzena, jijini Dar es Salaam baada ya kupata shida kwenye Mfumo wa Umeme wa Moyo, tatizo ambalo alikuwa nalo kwa takriban miaka 10.
Mazishi yake yalifanyika Machi 26, 2021 nyumbani kwake Chato mkoani Geita.
Hayati Magufuli anakumbukwa kwa misimamo yake mikali kwenye usimamizi wa maagizo yake pamoja na uwezo wa kuchukua maamuzi magumu hasa kwenye masuala yaliyokuwa yakionekana kukosa ufumbuzi.
Kama Mwananchi unamkumbuka kwa lipi kiongozi huyu?
Hapa kuna orodha ya Marais waliofariki wakati bado wakiwa Madarakani.
1999 - Mfalme wa Morocco, Mfalme Hassan II alifarikiwa akiwa na miaka 70 kwa Homa ya Mapafu.
1999 - Rais wa Niger, Ibahim B. Mainassara alifariki kwa kuuawa.
2001 - Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Laurent Dessire Kabila aliuawa kwa kupigwa Risasi na Mlinzi wake akiwa miaka 61.
2002 - Rais wa Somaliland, Mohammed H.I. Egal alifariki bila sababu za kifo chake kutajwa akiwa na miaka 73.
2005 - Rais wa Togo, Gnassingbe Eyadema alifariki kwa Mshtuko wa Moyo akiwa na miaka 69.
2008 - Rais wa Zambia, Levis Mwanawasa alifariki kwa tatizo la Kiharusi akiwa na miaka 59.
2008 - Rais wa Guinea, Lansana Conte alifariki kwa matatizo ya Moyo na Kisukari akiwa na miaka 74.
2009 - Rais wa Gabon, Omar Bongo alifariki kwa Saratani ya Utumbo akiwa na miaka 72.
2009 - Rais wa Guinea Bissau, aliuawa kwa shambulio akiwa na miaka 69.
2021 - Rais wa Tanzania, John Joseph Magufuli alifariki kwa tatizo la Mfumo wa Umeme wa Moyo akiwa na miaka 61.
2010 - Rais wa Nigeria, Umaru M. Yar'Adua alifariki kwa matatizo ya Moyo akiwa na miaka 58.
2011 - Rais wa Libya, Moammar Gadhafi aliuawa baada ya kupinduliwa na Waasi akiwa na miaka 69.
2012 - Rais wa Malawi, Bingu wa Mutharika alifariki kwa Mshtuko wa Moyo akiwa na miaka 78.
2012 - Rais wa Ghana, John Ata Mills alifariki kwa tatizo la Saratani ya Koo na Kiharusi akiwa na miaka 68.
2012 - Rais wa Zambia, Meles Zenawi alifariki akiwa na miaka 57 bila sababu za kifo kutajwa.
2012 - Rais wa Zambia, Michael Satta alifariki akiwa na miaka 77 bila kutajwa sababu za kifo chake.
2020 - Rais wa Burundi, Perre Nkurunziza, alifariki kwa Mshtuko wa Moyo akiwa na miaka 64.
Aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo, ambaye sasa ni Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, alitangaza kifo cha Hayati Maguli Machi 17, 2021 kilichotokea saa 12 jioni katika Hospitali ya Mzena, jijini Dar es Salaam baada ya kupata shida kwenye Mfumo wa Umeme wa Moyo, tatizo ambalo alikuwa nalo kwa takriban miaka 10.
Mazishi yake yalifanyika Machi 26, 2021 nyumbani kwake Chato mkoani Geita.
Hayati Magufuli anakumbukwa kwa misimamo yake mikali kwenye usimamizi wa maagizo yake pamoja na uwezo wa kuchukua maamuzi magumu hasa kwenye masuala yaliyokuwa yakionekana kukosa ufumbuzi.
Kama Mwananchi unamkumbuka kwa lipi kiongozi huyu?
Hapa kuna orodha ya Marais waliofariki wakati bado wakiwa Madarakani.
1999 - Mfalme wa Morocco, Mfalme Hassan II alifarikiwa akiwa na miaka 70 kwa Homa ya Mapafu.
1999 - Rais wa Niger, Ibahim B. Mainassara alifariki kwa kuuawa.
2001 - Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Laurent Dessire Kabila aliuawa kwa kupigwa Risasi na Mlinzi wake akiwa miaka 61.
2002 - Rais wa Somaliland, Mohammed H.I. Egal alifariki bila sababu za kifo chake kutajwa akiwa na miaka 73.
2005 - Rais wa Togo, Gnassingbe Eyadema alifariki kwa Mshtuko wa Moyo akiwa na miaka 69.
2008 - Rais wa Zambia, Levis Mwanawasa alifariki kwa tatizo la Kiharusi akiwa na miaka 59.
2008 - Rais wa Guinea, Lansana Conte alifariki kwa matatizo ya Moyo na Kisukari akiwa na miaka 74.
2009 - Rais wa Gabon, Omar Bongo alifariki kwa Saratani ya Utumbo akiwa na miaka 72.
2009 - Rais wa Guinea Bissau, aliuawa kwa shambulio akiwa na miaka 69.
2021 - Rais wa Tanzania, John Joseph Magufuli alifariki kwa tatizo la Mfumo wa Umeme wa Moyo akiwa na miaka 61.
2010 - Rais wa Nigeria, Umaru M. Yar'Adua alifariki kwa matatizo ya Moyo akiwa na miaka 58.
2011 - Rais wa Libya, Moammar Gadhafi aliuawa baada ya kupinduliwa na Waasi akiwa na miaka 69.
2012 - Rais wa Malawi, Bingu wa Mutharika alifariki kwa Mshtuko wa Moyo akiwa na miaka 78.
2012 - Rais wa Ghana, John Ata Mills alifariki kwa tatizo la Saratani ya Koo na Kiharusi akiwa na miaka 68.
2012 - Rais wa Zambia, Meles Zenawi alifariki akiwa na miaka 57 bila sababu za kifo kutajwa.
2012 - Rais wa Zambia, Michael Satta alifariki akiwa na miaka 77 bila kutajwa sababu za kifo chake.
2020 - Rais wa Burundi, Perre Nkurunziza, alifariki kwa Mshtuko wa Moyo akiwa na miaka 64.