Marais wa Nigeria ni conspiracy au inatokea tu?

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Kwanini huwa na sura mbaya sana na wengi hufiti hata ile dhana ya kibaguzi tunaoitwa Waafrika weusi na wasio Waafrika kama kutupiwa ndizi na kadhalika? Na cha kushangaza hawa maraisi wenye huu muonekano wote wamepata urais kwa mbinde na shinikizo sasa je ni conspiracy au inatokea tu wana huo muonekano?

Ikumbukwe kwamba Nigeria is the most important 100% black country in the World …

Raisi Tinubu wa Nigeria.

Obasanjo wa alikuwa raisi Nigeria pia


 
Huo muonekano ni sababu ya uzee tu....

Hapa chini ni Rais Obasanjo akiwa na Rais Jimmy Carter wa Marekani mwaka 1977 na mwaka 1978


 
Maraisi wa Nigeria wako wawil tu?
 
Huo muonekano ni sababu ya uzee tu....

Hapa chini ni Rais Obasanjo akiwa na Rais Jimmy Carter wa Marekani mwaka 1977 na mwaka 1978
View attachment 2730110

View attachment 2730138
Huyu Mwamba Ibasanjo ana rekodi ya aina yake kama ya Hayati Pervez Musharaf wa Pakistan

wameshawahi kuwa ma Rais walitokana na Mapinduzi lakini pia wakawa ma Rais waliotokana na uchaguzi katika nyakati tofauti
 
Hiyo stage mbona tayari, au kwa vile haikutolewa waraka? Waliunga mkono ndio maana
Itakuwa hiyo habari ilinipita, Wakija kufufuka waasisi wa Tanzania nina imani watalia machozi kwa yanayoendelea 🙆‍♂️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…