Marais wanawake wa kiislam duniani

Marais wanawake wa kiislam duniani

Sasa hii picha inahusika na nn na mada yako.
NILIKUA BEIRUT NA CAIRO NA TUNIS NA PARIS MIAKA ILIYOPITA NA KUNA WANAWAKE WANAVAA USHUNGI NA WENGINE HAWAVAI.
NA WENGINE LEO KAVAA USHUNGI ILA KESHO HAVAI
Quran imetaka wanawake kuvaa hijab. Biblia inataka hivyo. Mayahudi na magharibi wanataka wakae vichwa wazi
 
Ukiona hijab (wakiristo huita ushungi) usiumie utaingia prseha

1. Halimah.
Halimah Yacob (born 23 August 1954) is a Singaporean former politician and lawyer who served as the eighth president of Singapore from 2017 to 2023.
View attachment 2796510
View attachment 2796511
View attachment 2796512
Rais Samia Suluhu Hassan
Upto 2035(inshallah)


SIFA KUBWA YA MUISLAM DHIDI YA ASIEKUWA MUISLAM
Enyi mlioamini! Kuweni wenye kusimamisha uadilifu mtoapo ushahidi kwa ajili ya Allaah japokuwa ni dhidi ya nafsi zenu au wazazi wawili, au jamaa wa karibu. Akiwa tajiri au maskini Allaah Anawastahiki zaidi. Basi msifuate hawaa [matamanio] mkaacha kufanya uadilifu. Na mkipotoa [ushahidi wenu] au mkijitenga [kuepuka au kukataa kutoa ushahidi], basi hakika Allaah kwa myatendayo ni Khabiyraa (Mjuzi wa vilivyodhahiri na vilivyofichikana)." (04:135)
Lengo la uzi ni nini? Mbona umeisha ghafla?
 
Quran imetaka wanawake kuvaa hijab. Biblia inataka hivyo. Mayahudi na magharibi wanataka wakae vichwa wazi
Quran inawahusu maarabu tu na maislamu.
Biblia ni torati ya wayahudi na inawahusu mayahudi na makrsto tu.
EBU NIONYESHE KWENYE TORATI (BIBLIA) WAMEEANDIKA NI LAZIMA WANAWAKE WAVAE USHUNGI???
 
Maralia hiyo haiitwi hijab tu kwa lugha ya kiarabu acha ushamba.
Hicho kinaitwa kitambaa cha kichwani kinachovaliwa na wanawake na kwa kiswahili kinaitwa ushungi.
Wanawake woote duniani wanavaa vitambaa vya kichwani ila kwa mitindo tofauti tofauti.
NB: ACHA USHAMBA WA AKILI KWA KUAMINI KUA HESHIMA INAJENGWA NA HIJABU MAANA KUNA MALAYA WENGI TU WA KIARABU PALE RYADH SAUDI ARABIA NA WANAVAA HIJABU NA NIQAB NA WANAJIUZA.PIA NI USHAMBA KUAMINI WAISLAMU TU PEKEE NDIO WANAVAA USHUNGI.
SAFIRI DUNIANI UJIONEE.
NB: HESHIMA UJENGWA NA TABIA NA SIO HIJABU.

Huyu jamaa naona ni libukeni wa dini ya uislam, anashindwa kutofautisha kati ya mila za na tamaduni za waarabu na uislamu
 
Huyu jamaa naona ni libukeni wa dini ya uislam, anashindwa kutofautisha kati ya mila za na tamaduni za waarabu na uislamu

Na Mayahudi husema: Wakristo hawana lao jambo. Na Wakristo husema: Mayahudi hawana lao jambo. Na ilhali wote wanasoma Kitabu hicho hicho (Biblia). Na kadhaalika walisema wale wasio jua kitu mfano wa kauli yao hii. Basi Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao Siku ya Kiyama katika yale waliyo kuwa wakikhitilafiana​

 

Na Mayahudi husema: Wakristo hawana lao jambo. Na Wakristo husema: Mayahudi hawana lao jambo. Na ilhali wote wanasoma Kitabu hicho hicho (Biblia). Na kadhaalika walisema wale wasio jua kitu mfano wa kauli yao hii. Basi Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao Siku ya Kiyama katika yale waliyo kuwa wakikhitilafiana​

Wamesema wapi????
Na onyesha kwenye torati,,,sehemu inayosema hivyo???
NB: Achana propaganda za waislamu na Quran za kutaka kuwagombanisha wakrsto na wayahudi.
 

Na Mayahudi husema: Wakristo hawana lao jambo. Na Wakristo husema: Mayahudi hawana lao jambo. Na ilhali wote wanasoma Kitabu hicho hicho (Biblia). Na kadhaalika walisema wale wasio jua kitu mfano wa kauli yao hii. Basi Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao Siku ya Kiyama katika yale waliyo kuwa wakikhitilafiana​

Maralia kweli unaumwa na ushahama mada ya ushungi 🤣🤣🤣
 
So what!!? We kweli ni malaria Kama ilivyo jina lako. Akishakuwa rais mwislamu, mkristo, budha, mhindu au mpagani ina 'siginificance' gani kwenye maisha yako? Au hata rais akiwa wa kabila lako[emoji848].
 
Back
Top Bottom