Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Wadau nimekuwa nasikia Rais Mstaafu Mkapa ni mpatanishi huko Rwanda kati ya watawala na watawaliwa(baina ya vyama vya siasa) au Rais Mstaafu Kikwete ni mpatanishi burundi kati ya watawala na watawaliwa(baina ya vyama vya siasa) vinapokuwa vinazozana au kutokubaliana katika masuala yahusuyo siasa ,chaguzi au katiba za nchi zao na kupelekea machafuko na vita.
Tanzania tayari kunakutoelewana baina ya CCM na vyama vya upinzani kuhusu suala la katiba mpya na kamata kamata ya wapinzani inayofanywa na jeshi la polisi ,pia zuio la mikutano ya hadhara na ya ndani kwa vyama vya upinzani wakati CCM inafanya mikutano hiyo bila Polisi kuwazuia,pia suala la jeshi la polisi kubambikizia kesi wapinzani nalo limekuwa ni tatizo kubwa.
Ni wakati sasa kwa Marais Wastaafu na viongozi wa dini kuingilia kati suala hili ili kuleta maridhiano ya pande zote zinazoasimiana kama marais wastaafu walivyofanya katika nchi za Rwanda na Burundi. Kukaa kimya kwa Marais wastaafu na viongozi wa dini sio sahihi kwani ni wananchi wanaoteseka.
Tanzania tayari kunakutoelewana baina ya CCM na vyama vya upinzani kuhusu suala la katiba mpya na kamata kamata ya wapinzani inayofanywa na jeshi la polisi ,pia zuio la mikutano ya hadhara na ya ndani kwa vyama vya upinzani wakati CCM inafanya mikutano hiyo bila Polisi kuwazuia,pia suala la jeshi la polisi kubambikizia kesi wapinzani nalo limekuwa ni tatizo kubwa.
Ni wakati sasa kwa Marais Wastaafu na viongozi wa dini kuingilia kati suala hili ili kuleta maridhiano ya pande zote zinazoasimiana kama marais wastaafu walivyofanya katika nchi za Rwanda na Burundi. Kukaa kimya kwa Marais wastaafu na viongozi wa dini sio sahihi kwani ni wananchi wanaoteseka.