Wakati mwingine ukitafakari kiroho utajua kwanini Mungu anawajaza kuburi wafanye Mambo Kama vipofu, ili kukuche hakuna Budi kiza kitande. Salute kwa CDF alitoa hotuba njema kutambua support ya serikali ya Ujerumani kwa JWTZ, wakizindua hospitali maalumu ya kisasa magonjwa mlipuko Lugalo, pia Balozi German kuahidi mwakani Her Excellence Mama Samia ashiriki uwekaji jiwe la msingi Dodoma.Tunayo maboma mengi sector ya afya JPM hayana vifaa tiba, tuharibu mahusiano na wadau kisa tamaa za CCM!??? Tanzania ni kubwa zaidi ya CCM tuanze kufikiri nje ya box.