Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wapo mkuu , ila kwa sasa wapo kwa ajili ya mazishi tuHivi hawa kumbe wapo! RIP Mahiga!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo mkuu , ila kwa sasa wapo kwa ajili ya mazishi tuHivi hawa kumbe wapo! RIP Mahiga!
Acha porojo weweeUbinadamu kazi, si bora wangeweka japo picha yake huyu wa mafichoni ili aonekana kuaga.... ni hadi afe nani.?
R.I.E.P baba Jaji Augustino RamadhaniMarais wasitaafu wote leo wameuaga Mwili Wa Jaji mstaafu Augustine Ramadhani
Tayari Kwenda Kuzikwa Marais Hao Wakiongozwa Na Mzee Mwinyi, Mkapa na Kikwete Wameuaga Mwili Wa Jaji Huyo Mstaafu.
Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu amen.
View attachment 1436996
JokaKuu hufahamu kwanini rais hakuwepo. Sifikirii kuna sababu yoyote ya rais kusema kwa nini hakuwa hapo, kuna mambo mengi ambayo sio lazima wewe na mimi tuambiwe kwanini JPM hakuwepo.
Yupo uvunguni mwa kitanda Mkuu...Raisi wa sasa yuko wapi?
..ana udhuru gani?
..amesafiri nje ya nchi?
..Raisi ni mtumishi wangu,wako, na waTz wote.
..Watanzania wana HAKI ya kujua Raisi waliyemuweka madarakani yuko wapi ktk kipindi chote atakachokuwa madarakani.
Lakini huoni anayofanya wakati yuko Chato? Leo hii ndio mnaona umuhimu wa rais? Wacheni basi kutoa kejeli FYI mimi kwa maoni yangu hao marais wastaafu ndio walifanya kazi wakati wake mfiwa, vile vile haya mambo ya misiba ni maswala binafsi, kumbuka sherehe za Muungano mwaka huu hazikufanyika na mambo mengine kadhaa. JPM yupo nyumbani na kazi anafanya sasa nyinyi mbona mna wasi wasi sana? Inapobidi watu wanamfuata Chato. Hata Baba wa Taifa viongozi walikuwa wanamfuata Butiama itakuwa Chato? Wacheni hayo as I said sio kila kitu cha rais lazima muambiwe, kama ni hiyvo basi badilisheni sharia iliyopo maana haikidhi kiu yenu.
Sikufahamu kwamba wale wanaompiga vijembe, majungu na kejeli kila uchwao wanampenda namna hii na kum-miss.
Leo sina kiu.Takataka
Kwamba Mwinyi 90+, Mkapa 80+ Na Kikwete 70+ wao wako fit kumzidi Magufuli 60? Basi Tulipeleka Rais Mgonjwa Ikulu.
Acha porojo wewee
Swali je? viongozi wa upinzani wameudhuria....What?
Watu wenye kuongea kwa ukali,vitisho na kutesa wenzao huwa ni waoga sana,hawajiamini.Yaani kila nikimfikiria jinsi anavyojifanyaga kauzu kumbe muoga wa kufa hatari, kule iringa kwa Mahiga kamtuma Mama Samia
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeeeAfya mgogoro usitishwe na zile push-ups uchwara, jikoni sisi tunajua.... heko kwa Dr Kissenge.
Swali ambalo huwa najiuliza, ikiwa coronavirus imemfanya aikimbie Chato na kujificha huko, hivi hii nchi ikivamiwa kijeshi hata na kataifa kama Burundi au Comoro, si atakimbia na kwenda kuishi kwenye meli ya kijeshi kabisa, tena kati kati ya bahari, huku meli ikiwa imezungukwa na meli za kivita za kivita za kuilinda meli aliyojificha!!..Raisi wa sasa yuko wapi?
..ana udhuru gani?
..amesafiri nje ya nchi?
Wale waliokuwa wakimwita E.N.Lowassa mgonjwa na kwamba Ikulu ya TZ hapelekwi mgonjwa wako wapi!?Kwamba Mwinyi 90+, Mkapa 80+ Na Kikwete 70+ wao wako fit kumzidi Magufuli 60? Basi Tulipeleka Rais Mgonjwa Ikulu.
..Raisi wa sasa yuko wapi?
..ana udhuru gani?
..amesafiri nje ya nchi?