Haswaaah umenena.Wengi wao tamaa za kimwili haziwaendeshi ndo maana wanapendwa na wanawake wa kizungu.
Pia ni watu wasio na gubu na mtu(wale ma rasta orijino wenye itikadi ya dini ya kirasta).
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yes my Boss ni Rasta, ila hana dreadlocks.... Kama Rasta ni imani basi ni imani nzuri sana. A very cool guy, intelligent, calm and collected.
Najifunza vingi kwake, tatizo mi napenda nyama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zile SIO rasta ni dreadlocksMrisho Mpoto nae anazimikiwa na Mademu? 😅 em kuwen Serious
Chuga na Zanzibar wanaliwa ndogo kama kawaKuna siri gani kwa marasta. Mbona wanapendwa sana na mademu?licha ya wengi kuwa wachafu na maskini lakini wanawake wakila aina wanawashobokea. Nipeni siri
Puff Puff Puff Pass !I AM RASTAMAN kifupi tu usiangalie mtu kwa nje man angalia ndani... as we rastaman atuangalii mavaz au kiatu nyumba,gari au mali nk
TO BE A RASTAMAN TS NOT EASYMAN.
Wewe ukiwa mmoja wapo uliliwa mkiwa wote si ndio? Au unaamua tu kuwachafua Imani yao?Chuga na Zanzibar wanaliwa ndogo kama kawa
Peace & Love elewa Neno loveMara zote nasimamaga kwenye ukweli.
Rastaman wako piece ila pia wanapenda kampani sana na wazungu mapenzi ya kampani ambayo sisi tunaita utoto wao ndio wanayaoenda na Rastaman Ana sifa hizo mtu ambae sio mchoyo wa kampani.
Pia identity yao inajulikana Duniani ni mtu wa namna gani kuliko mimi tu mzungu nomekutananae Posta hawezi nijua mimi nani hasa inakuwa ngumu kumechi.
Same..Zile SIO rasta ni dreadlocks
Punguza wivu...😂Kuna siri gani kwa marasta. Mbona wanapendwa sana na mademu?licha ya wengi kuwa wachafu na maskini lakini wanawake wakila aina wanawashobokea. Nipeni siri
Mfano MEWatu wengi hawajui tofauti ya Rasta na dreadlocks.
Rasta ni imani wakati dreadlock ni nywele. So usijekushangaa ukakutana na rastaman mwenye kipara.
Sure? Does he smoke Kaya from Bob Marley? Ask himSame..
Ongezea nywele ni urembo nothing elseWatu wengi hawajui tofauti ya Rasta na dreadlocks.
Rasta ni imani wakati dreadlock ni nywele. So usijekushangaa ukakutana na rastaman mwenye kipara.
Hawezi sema... ukizingatia bange ktk nchi ni marufuku.. pia tender zake na serikali zitakufa.Sure? Does he smoke Kaya from Bob Marley? Ask him
Si umesema unapenda utulivu uende kwenye Ibada utulie akili ipate kua rechargeableMweeh! Nope 👎
Okay sawa Mkuu hapo nimekuelewa vizuri so unataka kusema Siri ya wao kupendwa na Warembo ni nini dreadlocks au ni rasta au ni vyote kwa pamoja? Usisahau kuna rasta wana vipara hawafugi dreadlocks ni bonge la dongoHawezi sema... ukizingatia bange ktk nchi ni marufuku.. pia tender zake na serikali zitakufa.
Buffalo Soldier, dreadlock Rasta
There was a Buffalo Soldier
In the heart of America
Stolen from Africa, brought to America
Fighting on arrival, fighting for survival
I mean it, when I analyze the stench
To me, it makes a lot of sense
How the dreadlock Rasta was the Buffalo Soldier
And he was taken from Africa, brought to America
Fighting on arrival, fighting for survival
Said he was a Buffalo Soldier, dreadlock Rasta
Buffalo Soldier, in the heart of America
(Wake up and) turn I loose
Binafs siamin kama wanapendwa na WAREMBO bali watu walio desperate na Maisha hasa ya mapenzi.Okay sawa Mkuu hapo nimekuelewa vizuri so unataka kusema Siri ya wao kupendwa na Warembo ni nini dreadlocks au ni rasta au ni vyote kwa pamoja? Usisahau kuna rasta wana vipara hawafugi dreadlocks ni bonge la dongo