I and IBinafs siamin kama wanapendwa na WAREMBO bali watu walio desperate na Maisha hasa ya mapenzi.
Hao jamaa sehem wanazokaa ukifatilia kwa Tanzania wanajiweka Beach.. ndio maana kuna mstari mwembamba kati ya Hao watu na ma BEACH BOY. sasa wale wanaucheshi mwingi.. wana story nyingi na wengi silaha yao kuijua lugha hasa za kigeni kama Kiitaliano, kifaransa etc.. hapo ndipo wazungu wanaamua wamgande huyo mwamba maana wanaelewana. Ndio mwanzo sasa wa mahusiano kukua zaidi.. hakuna jipya.
Wengi wanachanganya kati ya nywele msokoto(dreadlocks) na RASTAMANZile SIO rasta ni dreadlocks
Yes I MAN!Puff Puff Puff Pass !
Yeah sure Mkuu kweli kabisa,Wengi wanachanganya kati ya nywele msokoto(dreadlocks) na RASTAMAN
Rasta hafeki maishaKuna siri gani kwa marasta. Mbona wanapendwa sana na mademu?licha ya wengi kuwa wachafu na maskini lakini wanawake wakila aina wanawashobokea. Nipeni siri
SIO KWELI MANBinafs siamin kama wanapendwa na WAREMBO bali watu walio desperate na Maisha hasa ya mapenzi.
Hao jamaa sehem wanazokaa ukifatilia kwa Tanzania wanajiweka Beach.. ndio maana kuna mstari mwembamba kati ya Hao watu na ma BEACH BOY. sasa wale wanaucheshi mwingi.. wana story nyingi na wengi silaha yao kuijua lugha hasa za kigeni kama Kiitaliano, kifaransa etc.. hapo ndipo wazungu wanaamua wamgande huyo mwamba maana wanaelewana. Ndio mwanzo sasa wa mahusiano kukua zaidi.. hakuna jipya.
Jahman Hailey,I AM RASTAMAN kifupi tu usiangalie mtu kwa nje man angalia ndani... as we rastaman atuangalii mavaz au kiatu nyumba,gari au mali nk
TO BE A RASTAMAN TS NOT EASYMAN.
ONELOVEJahman Hailey,
Wapi nimesema wanawatafuta Wazungu?SIO KWELI MAN
RAS hatafuti wanawake wa kizungu never.