Marasta wana siri gani?

Marasta wana siri gani?

Binafs siamin kama wanapendwa na WAREMBO bali watu walio desperate na Maisha hasa ya mapenzi.

Hao jamaa sehem wanazokaa ukifatilia kwa Tanzania wanajiweka Beach.. ndio maana kuna mstari mwembamba kati ya Hao watu na ma BEACH BOY. sasa wale wanaucheshi mwingi.. wana story nyingi na wengi silaha yao kuijua lugha hasa za kigeni kama Kiitaliano, kifaransa etc.. hapo ndipo wazungu wanaamua wamgande huyo mwamba maana wanaelewana. Ndio mwanzo sasa wa mahusiano kukua zaidi.. hakuna jipya.
I and I
 
Binafs siamin kama wanapendwa na WAREMBO bali watu walio desperate na Maisha hasa ya mapenzi.

Hao jamaa sehem wanazokaa ukifatilia kwa Tanzania wanajiweka Beach.. ndio maana kuna mstari mwembamba kati ya Hao watu na ma BEACH BOY. sasa wale wanaucheshi mwingi.. wana story nyingi na wengi silaha yao kuijua lugha hasa za kigeni kama Kiitaliano, kifaransa etc.. hapo ndipo wazungu wanaamua wamgande huyo mwamba maana wanaelewana. Ndio mwanzo sasa wa mahusiano kukua zaidi.. hakuna jipya.
SIO KWELI MAN
RAS hatafuti wanawake wa kizungu never.
 
Back
Top Bottom