Pogba kajaje xaxa?Marc Andre ter stergen ni mzuri zaidi ya de Gea Habib sababu anajua kupiga pasi kwa usahihi Gea akirudishiwa pasi anaipiga irudi ilikotoka kama kapewa mkaa wa moto vile.
Marc ni mtulivu sana golini tofauti na Gea.
Marc ni mzuri one against one tofauti na Gea.
Marc ngumu sana kumfunga magoli ya mbali.
Marc ndie golikipa anaepiga pasi nyingi uwanjani kumzidi Pogba.
We jamaa, hapa sio FB. Mambo ya XAXA peleka kwa mabinti na wtoto wenzio.Pogba kajaje xaxa?
Dogo alikuwa bado hajapewa nafasi aonyeshe uwezo wake.Mbona Claudio Bravo alikuwa anamchomesha mahindi huyu dogo ?
Yap. Ila sijasema ULIOWATAJA,ila MLIOWATAJA, wewe na wachangiaji wengine. Thanks.Nimemtaja mmoja tu kaka
Ila complete goal keeper ni terstegen maana ana offer vitu vingi mno kuliko degeaUzuri wa goalkeeper inategemea na timu anayocheza uyo jamaa ni mzur lakini timu anayocheza inamfanya aonekane mzuri zaidi. Ila kiuwezo de gea anaonekana yuko vizur zaidi ila kwa kuwa timu anayochezea inaruhusu kushambuliwa mda wote kwaiyo anaelemew na ata angekuw kipa wa kiwango gani kama timu inaruhusu kushambuliw lazima kipa utaonekana aupo vizur ILA KWA SAVE ANAZOOKOA DE GEA NA ESTEGEN degea ndo anayoibea timu yake isifungwe mabao mengi
Shabiki wa liverLiveHabari za muda huu wanasports wenzangu?
Kipa hapa mbele yenu kutoa views zangu kuhusu huyu goal keeper number 1 wa Barca bwana marca Andre terstegen kwa umahiri anaouonyesha sasa ni wazi kabisa atasubua sana kwa magoal keeper wenzake kufikia uwezo wake
Kwa msio mfahamu picha hiyo hapoView attachment 724047
Huyo ndiyo mkombozi wa sasa wa team ya ujerumani toka kuumia kwa mkongwe NEUR
anasifika kwa umahili wake wa kupiga passes kutulia katika eneo lake na kuokoa zile one against one chances
Yangu ni hayo tu wakuu