Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,984
demokrasia ni ghali sana kuigharamia,pengine uchaguzi utaenda round ya pili!mudavadi angebaki jubilee mambo yangekuwa yashaisha tayari!
Na wakienda round two unadhani Mudavadi atarudi kumuunga mkono Kenyata au atarudi kwa swahiba wake wa zamani Agwambo??
Hivi katiba inasemaje? ni Aslimia 50%+1vote ya kura zilizopigwa au ni 50%+1 vote ya Valid votes?
Hakika atajiunga na Agwambo na anajuta sana kwa kukubali kuingizwa cha kike Mwita Maranya.
Unajua mama D huyu Mudavadi hata kama kungekuwa na sheria ya kwamba anaweza kuamua kumpa kura yeyote anayemtaka kati ya hao wawili na yeye akaamua kumpa jirani Raila bado mvua ya mawe ya Uhuru na Ruto ingesiwaacha hata kama ya mawe ingewakosa basi wangepambana na rasharasha ya kuanzia saa kumi usiku hadi saa tano asubuhi, si unajua mvua ile inasababisha watu wa mjini wakose kwenda kazini na sisi wa mashambani tushinde njaa kwa sababu kuni zimelowa?Mkuu Arushaone Mudavadi alikosea sana hesabu ila nadhani kajifunza sana, maana za wa nyumbani kwake kagawana na raila!
Eh huu uchaguzi sasa basi jamani, wamalize tu tujue moja!
Huyo atakuwa mwingine, mimi Masuke ndo first name yangu.Hadi wakati huu takwimu zinaonyesha Kenyata ana 49.6% wakati Odinga ana 44.2%, sasa katika hali hiyo round ya pili haiepukiki ingawa bado majimbo kama 58 hivi kufikia tamati.
Btw, kuna school mate wangu mmoja alikuwa akiitwa Daniel Masuke (sijui ndo wewe??)
Nadhani a lot will depend wangapi walipiga kura.., kama registered ni 14m; na sidhani kama wote walipiga kura.., na tukiondoa zilizoharibika nadhani jamaa akigonga kwenye milioni tano na nusu atakuwa amepata nusu ya kura zote plus one vote (assuming number ya waliopiga kura ni around 11m)Hadi wakati huu takwimu zinaonyesha Kenyata ana 49.6% wakati Odinga ana 44.2%, sasa katika hali hiyo round ya pili haiepukiki ingawa bado majimbo kama 58 hivi kufikia tamati.
Btw, kuna school mate wangu mmoja alikuwa akiitwa Daniel Masuke (sijui ndo wewe??)
kwanini useme ameshinda wakati hajatangazwa wala hawajamaliza kuhesabu? Mpira dakika 90. mwanzo si ulijua masaa 24 baada ya uchaguzi Rais atakakua kashatangazwa?. Ndo maana nasema tulia uone maajabu ya kenya. miaMkuu imani yako sio ya kuhamisha milima tu bali mito na maziwa na bahari kabisa, kwa nini mwenye nyingi tusimwone kama mshindi badala yake unataka kutuaminisha kwamba mwenye chache ndo atashinda?
As it stands 3:35PM: U. Kenyatta 5,115,704 (49.8%), R. Odinga 4,513,223 (43.97% or 44.0% rounded off)...updating #ballot2013