Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,984
demokrasia ni ghali sana kuigharamia,pengine uchaguzi utaenda round ya pili!mudavadi angebaki jubilee mambo yangekuwa yashaisha tayari!
Na wakienda round two unadhani Mudavadi atarudi kumuunga mkono Kenyata au atarudi kwa swahiba wake wa zamani Agwambo??