kiLimIlire
JF-Expert Member
- Apr 8, 2012
- 389
- 884
inanikumbusha Obama v/s Romney
Huwa nakaa saa nyingine nakosa maana ya UISLAMU hasa inapofika watu wanakufa ovyo eti katika jina la dini hiyo na ukombozi kutoka serikali ya MAKAFIRI... Mungu yupi anaependa kuuana hivi?
Uhuru 57% na Odinga 38% source citizen TV
Wangekua wanataja na province hapa tungejua maana isije kua uhuru anaongoza kwa kua tu maeneo yake yamewai kutoa matokeo