March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

Daaaa sasa mbona wanaanza kuharibu uchaguzi!

 
Uhuru for presidency, ila Chadema walimpa company Odinga sijui itakuwaje akishindwa.
 
Hadi sasa Raila anaongoza kwa 48%,akifuatiwa na Uhuru 47%,bado matokeo yanaendelea kutangazwa, CHANZO;THE CITIZEN TV
 
Uhuru kashafikisha kura laki 7, Raila anaitafuta laki 5.
 
Update saa 5 kamili usiku

Uhuru - 700,365 - 56.06%
Raila - 496,944 - 39.78%
Mudavadi - 31,974 - 2.57%

Ajabu Nairobi County Raila ameongoza kwa kupata asilimia 48 dhidi ya asilimia 47 za Uhuru!!!

Tiba
 
Duiuuuh
uchaguzi huu kabambe maana huu mchuano si mchezo!

Update saa 5 kamili usiku

Uhuru - 700,365 - 56.06%
Raila - 496,944 - 39.78%
Mudavadi - 31,974 - 2.57%

Ajabu Nairobi County Raila ameongoza kwa kupata asilimia 48 dhidi ya asilimia 47 za Uhuru!!!

Tiba
 
Je ni halali kuonyesha matokeo ya Uraisi ya Kenya Live
Wakati ya kwetu mwiko???
 
hawa wa kenya nao hawaeleweki! Kumchagua kenyata ni sawa na wabongo lala waliomchagua jk,watajuta kuzaliwa limtu linakula bangi na linakesi nzito then wanataka kulipa nchi...sisi yetu macho bana...
 
Asante mkuu mpambano ni mkali kuna uwezekano wa kurudia uchaguzi kati ya Uhuru na Laira
 
Odinga anaanza kupanda!! Sasa ngoja watoe zile za kambi ya Odinga uone kibao kitakavyojeuka!! It is too early to predict kuwa Uhuru ni kinara at only 8% of all votes!!!

Mbona hamweleweki? Raila ni mtawala na ni Waziri mkuu wa Kenya sasa inakuwaje tena uko upande wake badala ya Mama Martha Karua au Paul Muite ambao wao ndio wapinzani! Uhuru na Raila wote wako Serikalini!
 
Update saa 5 kamili usiku

Uhuru - 700,365 - 56.06%
Raila - 496,944 - 39.78%
Mudavadi - 31,974 - 2.57%

Ajabu Nairobi County Raila ameongoza kwa kupata asilimia 48 dhidi ya asilimia 47 za Uhuru!!!

Tiba
Mkuu Tiba,kwa nini unasema ajabu?kwa kenyatta alikuwa anapewa nafasi kubwa ya kushinda nairobi?
 
Last edited by a moderator:
hawa wa kenya nao hawaeleweki! Kumchagua kenyata ni sawa na wabongo lala waliomchagua jk,watajuta kuzaliwa limtu linakula bangi na linakesi nzito then wanataka kulipa nchi...sisi yetu macho bana...

Usitukane mamba kabla hujavuka mto. Hiyo ndo inaitwa demokrasia, maana halisi ya demokrasia sio kwamba lazima uchague mtu bora hapana, bali unachagua kwa utashi-demokrasia
 
Mbona hamweleweki? Raila ni mtawala na ni Waziri mkuu wa Kenya sasa inakuwaje tena uko upande wake badala ya Mama Martha Karua au Paul Muite ambao wao ndio wapinzani! Uhuru na Raila wote wako Serikalini!
Mkuu mbona unalazimisha upinzani wa CCM na CHADEMA bila sababu yoyote?

Huu ni uchaguzi wa kenya,sahau siasa za Tanzania!
 
Monday 23:21

KENYATTA 712,---
ODINGA 505,---
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…