Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Wewe mwache aendeleze chuki. Halafu hana taarifa mpya za mchana huu, yeye anategemea taarifa IEBC zilizoko kwenye Citizen TV. Taarifa kutoka kambi ya Raila Odinga ni kwamba baada ya wao kujumlisha kura za vituo vyote nchi nzima Mh sana Raila Odinga ameshinda round hii ya kwanza, bila kusubiri Raudi ya Pili. That is the reality whether you like or not.
Mkuu pia ujue kuna ambao ID zao hazionekani kabisa kwa users (are invisibles)!! Kwa hiyo list ni kubwa zaidi kwani ukihesabu hao walio hapa tu members hawafikii 175!!!)!! Ila ndo leading thread jana na leo!! Kweli siasa si mchezo!! Mimi nasikiliza live Citizen huku nachapa kazi!! Raila ameanza kuzishusha za Uhuru!! Let us wait for the last kitufe!!!There are currently 1821 users browsing this
thread.
(175 members and 1646 guests)
Muheshimiwa Gang Chomba, Logly, samike, omurwa, Dhuks, beseni, Shambano, fishengoma62, John locke, Ng'wale, Landson Tz, lane, Mzee wa Rula, muheshimiwa Balantanda+, Chimbuvu, YgJunior, DMussa, true, mwanya, NYALU BOY, Mringi.., David Raphael, Guus Weyne , MANI, Masuke, MAPINDUZI75, Ronn M, agatony8l, IBRAHIM NZUNDA , symon karanja, Dark City, SAM nicheck, PJ, Cantona severin, Mshindo, muwaha, BULONDO, cooper, Luco2011, joseeY , Consigliere, kichakare, ablood8, mwanachamahai, nuraj, Polisi, Kyenju, MissM4C, kibol, marhaba, Pendael laizer, MkamaP, mama D, Cathode Rays, sembo, Queen kan, Henry Temu, KisakoKivuyo , Zanaki, Mr.Professional, mathewa, Mtumpole, ARUSHA01 , Mkombozi, Mzalendo80, Priga, Tika, wlfwilley, aloycious, Kenyan, Filipo, tusichoke, Tiger One, TzPride, Kashaijabutege, Tanzania Russia, Junius, mgashi, zamlock, Revolution, aspen, Mtoto Wa Mbale, Saint Ivuga, Amir, bulinge, MKOMBOZI1, Zanta, ESCO, Kizimkazimkuu , jailbreaker, Kwolesya, Mwalwimle, Borro, WENCY, Alinda, paesulta, mcharo elibariki, tycoon, Masoud mrisho, Luluka, Mussa Mbuya, salcone, mashah, Inkoskaz, PakavuNateleza, Apolonary, toghocho, JOHN MASSENZA , orwamat, Yegoo, platozoom, Nairoberry, comred, Laurence, MHP, The Magnificient, Namour, Mwanachibhira, tweve, Nkandi, King Zenji, Bill, Mahongole, Kokoliko , elly1978, Junior. Cux, myhem, Meela, Ray2012, Rugas, LeopoldByongje, Emijasha, Chammy, Joss, godwin.chief, shuve, FIDA, mcubic, mysha, namanyele, HOMOSAPIEN, Ntemi Kazwile, Kyaiyembe, Bepari ns, frema 120, Freetown, makayamwene, Lingasiku, ngwini, giraffe, KANUTI SILAYO , msaragambo, Dundrus, kijumbamshale, Log, emwahaja25, hydle, Gajunga, Goodluck Mshana, yindb51, dicksonpm, man s, Msolo, Uncle Rukus, KINGUNGE INNO, Mtoboasiri, ojohn1, Ziroseventytwo, Ka2wa
Usiitelekeze ile ID ya TUNTEMEKE kiasi hicho....Maliza shule urudi Kibaha kaka.Achana na hii miradi ya simu.Pole
14:30 Presidential provisional results: Uhuru Kenyatta has polled 2,574,815, while Raila Odinga has 1,983,460 with 12,668 polling centres reporting. Rejected votes stand at 300,144. The votes processed so far are 5,074,677. The IEBC has declared that only 4,774,365 are valid.
ODM/ ccm/ cdm vS Jubilee
Time will prove you wrong!! Angalia kwanza ameshinda majmbo yepi na jumla ya stations ambazo zimeshajumlisha dhidi ya yale ambayo bado!
Mr. Professional...
Wakati mwingine uandike tu kwa Kiswahili utaeleweka...
Si vizuri kuharibu lugha ya watu...
Mkuu pia ujue kuna ambao ID zao hazionekani kabisa kwa users (are invisibles)!! Kwa hiyo list ni kubwa zaidi kwani ukihesabu hao walio hapa tu members hawafikii 175!!!)!! Ila ndo leading thread jana na leo!! Kweli siasa si mchezo!! Mimi nasikiliza live Citizen huku nachapa kazi!! Raila ameanza kuzishusha za Uhuru!! Let us wait for the last kitufe!!!
Kaeni giza wacheni wakenya wafanye vitu vyao tokeni huku hakuwahusunawe mwendawazimu tu. Hukuwa na sababu ya msingi ya kujibu post yangu. Kaa kimya!
Kwani ikulu wanaenda kukwapua na kutoka spidi...hawaendi kuiba simu mkuu.Ujana wewe ndiyo unaokufaa kwa hiyo shughuli yako
Muislamu kafata nini hapa! Embu niandikie jina lake kwa ufasaha alafu unionyesha uislamu wake!Nafikiri wana tume makini kipindi hiki hasa kwa kuwa inaaongozwa na muislam
%;@#$#@&*Nafikiri wana tume makini kipindi hiki hasa kwa kuwa inaaongozwa na muislam
FORA statement on the ongoing
IEBC presidential vote tallying
1.The Friends of Raila (FORA)
Secretariat thanks Kenyans for
coming out in large numbers and
conducting ourselves in a patriotic
and orderly manner during the
historic voting exercise yesterday,
March 4, 2013.
2.We want to bring to your
attention that we have our
presidential tallying centre. We are
receiving results from our Agents
across the country as they are
announced at the polling centers.
The numbers we have look very
good and we urge our supporters
not to buy into the scare on TV
screens. We have not released our
in-house tallies because the Captain
signed the IEBC code-of-conduct
and he has urged us to be
responsible and to wait on IEBCs
results. We are continuing to
monitor IEBCs provisional results
and only making contact for
clarification where there are any
serious discrepancies with our in-
house tallies. We reiterate that so
far the numbers that we have are
looking very good and our
supporters should not be alarmed at
all.
3.We remind Kenyans to note that
so far IEBC has released only a
fraction of the total votes cast
across the country. Of importance
to note is that the percentages of
votes per county released by IEBC
so far is not uniform. Different
counties have different percentages
of votes tallied so far. Statistically
therefore, the national average,
which is what TV screens are
displaying, cannot and should not
be used by our competitors or
anyone to misinform and mislead
the public that someone is
cumulatively ahead. We urge our
supporters and the public to look at
the numbers being screened on TVs
in context as well as in relation to
statistics paradoxes. As of this
morning IEBC had indicated they
had provisional results from about
8000 polling centres. Across the
country we have over 31000 polling
centres.
4.We want our supporters to note
that IEBC erred in beginning to
release provisional results while
voting was still going on in many
polling centres. Also the initial
provisional results that were
released to the public were those
from our competitors strongholds.
We wish to inform the public that at
some point immediately thereafter
the IEBC system went down,
affecting the streaming of live
results. In addition, our supporters
should note that just a few tallies
have been released by IEBC from
our strongholds.
5.In closing, we want to say again
that our in-house tallying numbers
are looking very good and we are
poised for a big win! We ask for
calmness as IEBC continues to
release the results. Always bear in
mind that the numbers coming in
are not uniform across the counties
and therefore the average
percentage cannot and should not
be used as a national average. The
results in so far are provisional. In
fullness of time, we are headed for
a big win.
For any further information please
contact the undersigned.
Signed:
George Nyongesa |CEO, The Friends
of Raila | Tel: +254 720 451 235 /
733 827 859 |Email:
grnyongesa@yahoo.com
Cc: Hon. Kalonzo Musyoka
Hon. Anyang Nyongo
Hon. Franklin Bett
Mr. Eliud Owallo
ODM/ ccm/ cdm vS Jubilee
Nimejaribu mashadaforums nikakuta imeshapigwa chini na serikali tangu January. Nisaidie kama unaifahamu nyingine.Mkuu nenda kwenye forum ya Kenya politic
Wewe unayesikiliza LIVE, maelezo yanaonyesha upepo unaweza kubadilika huko mbele kiasi cha Raila kuja juu?
Umemsahau kikwete