Hello! Mi mgeni katika JF. Nimependa mawazo yenu wanajamii. Tushirikiane!
heheehhe we kweli mgeni..karibu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hello! Mi mgeni katika JF. Nimependa mawazo yenu wanajamii. Tushirikiane!
miaka 51 kijana ?
kaka naomba nikukumbushe yaliyotokea Zanzibar kipindi kile..watu walishaanza hadi kusheherekea na tulio nje tulipigiwa simu tena na viongozi ikiwemo wa ccm kwamba mwaka huu mambo sio but what happened? tusubiri kidogo..utaona changes kwenye tofauti ya kura sasa hivi
Hello! Mi mgeni katika JF. Nimependa mawazo yenu wanajamii. Tushirikiane!
Kilichotokea Zanzibar si unakijua lakini...
Watu walibishana sana, mpaka nikamua kwenda Kenya ili niutafute ukweli, nikaupata Rutashubanyuma naye alielezea kwa kina zaidi with concreate details, but yet, watu walidiwa na mapenzi/mahaba na hivyo ku cloud uwezo wao kiakili in reasoning.
Nikaeleza kuwa hakuna namna YOYOTE ile anayoweza kuitumia Raila kushinda Uchaguzi huu, watu wakabisha. Speech ya OBAMA ikammaliza kabisa.
Uhuru is the next Kenyan President, whether you want it or not.
Kwani ikulu wanaenda kukwapua na kutoka spidi...hawaendi kuiba simu mkuu.Ujana wewe ndiyo unaokufaa kwa hiyo shughuli yako
Bado sana hata nusu polling station bado kuhesabiwa!
Wewe subiri kura za kambi ya Odinga...
ha ha haaa...kuna ka siri sijui li siri acha nikumegee tu:
Ni hivi Raila atabaki kuwa mgombea wa kudumu na mwenye uzoefu nchini Kenya...
I love Kenya...real.
Teh! Teh! The! eti "time is the speaks louder"!
Hii forum!!!!!!!!!!
Teh teh enhee Swahiba nipe ripoti iliojiri hivi punde toka Kisauni kwa Ally Hassan Joho...