March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

ME naona kama UHURU anachukua urais. Raila pole sana jamani, wakenya wengi wanakupenda ila kura hazitatosha.
 
HAPO PATAMU JAMANI.
ANASEMAJE PAPAA MAGUFULI PIA CCM KUJIINGIZA KUMUUNGA MKONO LAILA.
EEH SIE CHADEMA ROHO KWATU TNANGONJA ATAKAESHINDA TUSHIRIKIANE KULING'OA JAHIRI CCM, AAh KWA RAHA ZETU
 
Hiyo 42.40% sio sehemu ya kura zilizopigwa bali ni sehemu ya waliojiandikisha, huwezi kujua idadi ya watu waliopiga kura kama hujamaliza kuhesabu, ukitumia assumption ya kwamba 70% ndo ilikuwa turnout kwa hiyo kura zilizohesabiwa ni zaidi ya 50% ya kura zote zilizopigwa.

Hiyo hesabu ya 42 inatokana na idadi ya vituo ambavyo tayari matokeo yake yamejumlishwa Mfano "15:50 The National Tallying Centre at the Bomas of Kenya has received results from 13,004 polling stations out of 31,981. Uhuru Kenyatta is in the lead with 2,650,475. Raila Odinga follows with 2,052,008 votes. The rejected votes’ tally stands at 309,984".

Vituo 13004/31,981 = 40.66% Masuke
 
Last edited by a moderator:
Mkuu MkamaP,
Inaonekana Mathematics inakupiga chenga Bro. Kulingana na maelezo yako kama kura za wagombea wengine ukijumlisha na za Odinga hazitafikia idadi ya kura za Uhuru maana yake ni kwamba Uhuru tayari ana above 50% ya kura zote kitu ambacho si sahihi kama wakirudia uchaguzi. Kama wakirudia uchaguzi maana yake hakuna aliyefikisha above 50% na kwa msingi Simple Mathematics inasema kama ukimuondoa mgombea yoyote (hata wa mwisho au wa kwanza) then ukajumlisha kura za waliobaki obvious zitakuwa zaidi ya 50%. Sasa ni vipi Odinga hatashinda uchaguzi kama uchaguzi ukienda second round??

Kuwa makini unapotoa comment zako Mkuu.

TUMBIRI (PhD In progress, CPA(T), MBA(UDSM), Bcom(UDSM), PCM(Mzumbe High School - 2[SUP]nd[/SUP] Overall Best Student in Form six National Exams),
tumbiri@jamiiforums.com

Nakala: Crashwise, Ndalo, Mwita Maranya, Ngongo
there is another assumption the candidates must score 25% of the vote from each consistuent so it not just victory. it all about about degree of acceptance from all parts of the Republic of Kenya, right?
 
there is another principle; that prospective winner candidates must score 25% of the votes from each constituency so it not just a simple victory. it all about about the degree of acceptance from all parts of the Republic of Kenya, right?
 
Maamuzi mazito. Baada ya servers kufeli iebc imeamua kujumuisha matokeo manually. Je tatizo ni system hacking?
 
Maamuzi mazito. Baada ya servers kufeli iebc imeamua kujumuisha matokeo manually. Je tatizo ni system hacking?

Hapa kuna vitu vingi vinaweza kutokea ikiwa ni pamoja na hiyo system hacking. Au pengine ni mtandao kuwa slow, au pengine ni uwezo mdogo wa wataalamu wa IT hasa kwenye issue kama hii yenye changamoto lukuki.
 
Maamuzi mazito. Baada ya servers kufeli iebc imeamua kujumuisha matokeo manually. Je tatizo ni system hacking?

kenyatta aliwatumia pale mwanzoni akaachana nao,naona Odinga ndio anashtuka wakati kumekucha
 
Hapa kuna vitu vingi vinaweza kutokea ikiwa ni pamoja na hiyo system hacking. Au pengine ni mtandao kuwa slow, au pengine ni uwezo mdogo wa wataalamu wa IT hasa kwenye issue kama hii yenye changamoto lukuki.

Hili la mtandao kuwa slow linatia shaka. Safaricom network mbona imara tu. Rumours are circulating to effect that hackers have installed code that is churning fake results! Watch trend baada ya iebc kufanya majumuisho manually.
 
Hili la mtandao kuwa slow linatia shaka. Safaricom network mbona imara tu. Rumours are circulating to effect that hackers have installed code that is churning fake results! Watch trend baada ya iebc kufanya majumuisho manually.

Tume isipokuwa makini yanaweza kujirudia ya 2007.
 
there is another principle; that prospective winner candidates must score 25% of the votes from each constituency so it not just a simple victory. it all about about the degree of acceptance from all parts of the Republic of Kenya, right?

Wakuu, kuna new development hapa ambayo iko likely kumzuia Uhuru kupata ushindi kwenye hii round ya kwanza. Wachunguzi wa mambo wanasema ili mtu ashinde inabidi apate at least 50%+1 ya kura zote zilizopigwa. Hii ina maana ya kwamba even spoilt votes inabidi zipewe percentage hapo kabla ya kuamua mshindi ni nani. Endapo kura karibu 336,000 zilizoharibika zitaongezwa hapo na kupewa % ya kura zote zilizopigwa, ina maana % ya Uhuru itashuka kuwa chini ya 53% alizonazo kwa sasa.

Suala lingine linalotia shaka ni kwamba kura nyingi za Nairobi hazijawasilishwa kwenye tume ili ziongezwe kwenye total votes tally. Sasa unaweza kujiuliza ni kwa nini kura za Garissa, Wajir, Kisumu, Kisii huko pembezoni zimewasilishwa kwenye tume ila za Nairobi bado ambako hata kwa mguu mtu naweza kutembea mpaka hapo Bomas to kupeleka hiyo fomu ya matokeo inayoitwa number 34.

Kuna tetesi vile vile kuwa IEBC imesitisha kupokea matokeo ya kura electronically si kwa kuwa devices zimeshindwa kufanya kazi, bali wanajaribu kuepuka hackers wasivamie hiyo system ya tume na kuingiza kura feki.

Kwa sasa ni kama mambo yamesimama, lakini mwenyekiti wa IEBC alihaidi jana kwamba atatangaza matokeo leo ingawaje sheria inampa siku saba za kufanya hivyo.

Tuendelee kusikilizia.

Tiba
 
Mkuu,

hii thread ni non-partisan in terms of politics.

Sisi tuna-critic hawa IEBC na jinsi walivyoandaa hizi kura na ukiangalia thread nyengine nime-post hapo
juu, watu walikua washatoa warning about their inability to carry out such an important task kitambo
lakini watu wakapuuza.

Now here we are.

Well said Mkuu,yani kuna watu kila sehemu wanarukia tu na mambo ya matokeo,Uzi unaongelea concerns za IEBC,mtu anakuja na upuuzi mwingine kabisa kuharibu thread.kwa nini asiende kwenye thread husika ya matokeo?
 
Wakuu, kuna new development hapa ambayo iko likely kumzuia Uhuru kupata ushindi kwenye hii round ya kwanza. Wachunguzi wa mambo wanasema ili mtu ashinde inabidi apate at least 51% ya kura zote zilizopigwa. Hii ina maana ya kwamba even spoilt votes inabidi zipewe percentage hapo kabla ya kuamua mshindi ni nani. Endapo kura karibu 500,000 zilizoharibika zitaongezwa hapo na kupewa % ya kura zote zilizopigwa, ina maana % ya Uhuru itashuka kuwa chini ya 53% alizonazo kwa sasa.

Suala lingine linalotia shaka ni kwamba kura nyingi za Nairobi hazijawasilishwa kwenye tume ili ziongezwe kwenye total votes tally. Sasa unaweza kujiuliza ni kwa nini kura za Garissa, Wajir, Kisumu, Kisii huko pembezoni zimewasilishwa kwenye tume ila za Nairobi bado ambako hata kwa mguu mtu naweza kutembea mpaka hapo Bomas to kupeleka hiyo fomu ya matokeo inayoitwa number 34.

Kuna tetesi vile vile kuwa IEBC imesitisha kupokea matokeo ya kura electronically si kwa kuwa devices zimeshindwa kufanya kazi, bali wanajaribu kuepuka hackers wasivamie hiyo system ya tume na kuingiza kura feki.

Kwa sasa ni kama mambo yamesimama, lakini mwenyekiti wa IEBC alihaidi jana kwamba atatangaza matokeo leo ingawaje sheria inampa siku saba za kufanya hivyo.

Tuendelee kusikilizia.

Tiba
Tiba, siyo 50%+1?
Kwa nyongeza tuu,Uchakachuaji unaonekana upo dhaihiri shahiri. Sema Wachakachuaji wamekuwa mafundi na haijawa openly revealed. Pia nadhani huyo Mwenyekiti wa TUME kuna kitu anajua. Iweje aseme atatangaza matokeo leo wakati akijua hata nusu ya kura hazijawa tallied? Lets wait and see!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom