umepata wapi hizo data
Hehehehe!...I see u have resurrected huh?...lol!
Watu walikua wanaleta bafuchafu....thank God for Analogue!!!
ni matokeo kutoka kwa baadhi ya constituencies, sio summary ya prov results, so this z not conclusive ila ni indication ya Raila kuja juu....
Inaonekana hawaamini jinsi waziri mkuu wao alivyokuwa anazidi kuachwa, ila Kenya ukikuta eneo fulani limelalia kwa mgombea fulani ni kweli hawana utani, unakuta kati ya wa kwanza na wa pili ni gap la ukweli....hawahesabu upya, yale ya awali yalikuwa ni matokeo ya awali, means yalitumwa toka vituoni kupeleka taarifa ya vituo kwa IEBC, sasa haya ya sasa actually ni yaleyale ya vituoni ila sasa ni yaliyowasilishwa phyisically, mpaka kesho mchana yakishawekwa ya kutosha tunarudi palepale tulipokuwa mwanzo...
Hehehehe!...I see u have resurrected huh?...lol!
Watu walikua wanaleta bafuchafu....thank God for Analogue!!!
Lakini ukweli ni kuwa haitaisha vizuri itabidi FFU&JWTZ wakaongeze nguvu sasa!
Jamaa aliyewashtua CORD kua kuna mchezo mchafu unaendelea katika maswala ya IT huyu hapa:
Engineer James Rege:
Wanahesabu upya au wanajumlisha upya? hapa sijaelewa vizuri.
Huyu jamaa ni hatari sana!