Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
Kura zote zilizowasilushwa boma sasa yamefutwa na sasa wanaanza kuhesabu upya kazi ipo kwa Kenyatta.
Na kwa sasa Odinga anaongoza kwa zaidi ya kura 110,000 na Kenyatta anafuata kwa kura takribani 40,000
Source: DW habari na BBC Swahili
Jamaa aliyewashtua CORD kua kuna mchezo mchafu unaendelea katika maswala ya IT huyu hapa:
Engineer James Rege: