March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

Hii update ya Martha Karua on biometric kits inatia mashaka naona ni kule katika ku-divert kura kwa UK where other Kikuyu presidential aspirants are strong!

A hater will always be one, do you even know the role played by bvr kits in this election?
 
Mauaji hayo yanasadikiwa yamefanywa na kikundi cha MRC!
 
Na inasadikiwa kua zoezi la upigaji kura muda unaweza usitoshe kutokana na kujitokeza kwa wapiga kura wengi mno!
 
Wameuwawa kwasababu gani?
Maana isitangazwe tu ikaonekana wameonewa Labda ni majambazi? kipindi cha uchaguzi wanachukulia Advantages watu wako bussy na Uchaguzi?
Wana mambo ya ajabu. Huko kiambuu imekamatwa pombe nyingi sana usiku kabla ya uchaguzi lengo lilikuwa wapewe vijana wanywe kabla ya uchaguzi walewe ili walete fujo kwenye uchaguzi.
 
never! wenzetu wamekomaa na inaelekea wana heshima na uvumilivu wa kiutu uzima, imagine kungekuwa na mlipuko hapa tz, pangechimbika!! lakini wakenya wameganda kwenye foleni. I'm so proud of them. after this election Kenya wont be the same, watch them flying!
 
BBC on Line, nanukuu,

Kenyans are voting in an election that observers describe as the most important in the country's history.
It is the first time a vote has taken place under a new constitution, designed to prevent a repeat of violence that followed the 2007 polls.
More than 1,000 people died in ethnic and political violence following claims the poll had been rigged.

Despite appeals for calm, at least five police officers died when they were attacked near Mombasa on Monday.
At least six other people - including several attackers - are also reported to have died in the assault in the early hours in Changamwe, half an hour's drive inland from the centre of Mombasa.

Ni seme kweli, nitasikitika sana kama wakenya wataharibu tena uchaguzi huu pamoja na juhudi zote walizofanya kabla.
 
watu 16 wamefariki dunia kutokana na vurugu za kisiasa mjini mombasa.habari hizo kutoka e channel ya afrika kusini zinasema kua vurugu hizo zimetokea katika eneo.la.mshamgweni huko mombasa
 
Wa kenya bwana hili zoezi limewashinda kabisa, sijui ni madhara ya MAU MAU, yaani kila uchaguzi ni mauaji?
 
IEBC suspends voting in 4 county wards

By Peter Opiyo at Bomas of Kenya Tallying Centre


Nairobi; Kenya The Independent Electoral Boundaries Commission (IEBC) has suspended voting in four county assembly wards after errors were noted in the ballot papers.

IEBC chair Issack Hassan said that in the interest of fairness the voting in wards will be repeated on March 11.


The affected wards are Nyabasi West and Goke Haraka Ward in Kuria East Constituency, Bunyala South Ward in Budalangi Constituency and Gwassi North Ward in Gwassi Constituency.

IEBC said the cancellation of the voting will only affect the seats for the County assembly wards and will not affect five other positions.

"There was a mix up of pictures of County assembly ward candidates. IEBC has postponed voting for the candidates to allow for fairness and will repeat the poll on March 11." Hassan said.

Said Hassan: "We also are aware of malfunction due to a lot of problems including power outages. The IEBC has organized back up for areas where poll books failed. The electoral officials will make use of the book which is a printed version of the poll book.

"We have authorized the use of printed poll register book. The requirement for voting is the ID or the passport which were used to register as voters.” If the Passport is expired then the voter should carry the new one as well as old one used at the station for registration of voting.

"All returning officers are asked to allow only validly registered voters to exercise their vote." Hassan said at a press conference at Bomas of Kenya which is the nerve centre for tallying of votes and monitoring the exercise.
 
Via Citizen TV: A woman delivers a baby at Muthurwa Polling station, names baby Amani. Mother and baby are fine

BEe-6P2CYAAXlzx.jpg

very wonderful to that baby born during an important historical day in Kenya,i also love his name AMANI,the name also belong to my father
God bless that new baby and have long life
 
We Tanzanians, we wish you our brothers a peaceful decision day.
We hope you are going to make the right decision at this right moment
 
NATA nakwambia hawa jirani zetu tutegemea wakimbizi safari hii na kupitia Sunrise Radio hapa Arusha ni kwamba watu wengi wameuawa!


Wa kenya bwana hili zoezi limewashinda kabisa, sijui ni madhara ya MAU MAU, yaani kila uchaguzi ni mauaji?
 
Last edited by a moderator:
Na inasadikiwa kua zoezi la upigaji kura muda unaweza usitoshe kutokana na kujitokeza kwa wapiga kura wengi mno!

Mkuu Ndallo,

Hatuwezi kusema watu wamejitokeza kwa wingi zaidi ya ilivyotarajiwa kwani wote hao walijiandikisha na kwamba walitarajiwa watapiga kura leo. Kilichotokea leo hapa ni kwamba watu wengi wamejihimu asubuhi na mapema kuwahi vituoni na kila mmoja alitaka apige kura yake mapema na matokeo yake wengi wamefika kwa wakati ule ule na hivyo kusababisha foleni ndefu sana. Lakini kwa sasa ninapo andika misururu mirefu imepungua katika baadhi ya vituo. Hopefully by saa 11 watu wote wanatakuwa wameweza kupiga kura!!!!

Tiba
 
jamani hivi Sonko amepiga kura?
Au bado hajaamka kutokana na hangover ya jana?
 
we do appreciate yr vocation Mr.Kenyan ..some more please!
 
mkuu simplemind sijakuelewa kabisa, ebu funguka vizuri usomeke vema

makabila mengi ya kenya kawaida hayajitokezi kwa nguvu kama walivo wakikuyu kupiga kura. Hivo kujitokeza kwa wingi makabila mengine whom are more likely to vote for Raila tilts balance in CORD's favour.
 
Last edited by a moderator:
Voters injured in stampede

By Lucianne Limo and Peterson Githaiga

More than 20 people were injured as an anxious crowd forced open the main gate to St Monica Catholic Church polling station, Kitengela in Kajiado County.

The injured, mostly women who were trampled upon by more than 200 people, were rushed to St Teresa dispensary for treatment which luckily is opposite the polling station.

Police fired live bullets to scare the crowd that was chaotic and unruly as they tried to forcefully enter the polling station.

The huge number of voters who had arrived at the polling station as early as 3am scampered for safety when police shot in the air several times.

Voters who managed to get into the polling station then started hurling stones at those outside the gate.

The St Monica's polling station has one of the highest number of voters numbering 25,000 voters.

A witness said the number of casualties would have been worse if police had not scared the unruly crowd by shooting in the air.

"There was no order. The crowd had become anxious and were surging towards the gate. A stampede ensued when they forced the gate open and many people were trampled on when they fell down," said Samson Kamau.

Kamau said the electoral body did not take into consideration number of voters in the station by deploying enough police and clerks to ensure order and protocol is observed during voting.

"The police were overwhelmed by the crowd. One of the women was pushed and when she leaned on a police officer, he pushed her away," he lamented.

Janet Waruguru who was nursing neck and leg injuries said she will not vote as she was traumatized by the mishap.

"I saw death. I fell down and many people especially huge men fell on me crashing me on the ground, "she said.

The dispensary was overwhelmed by the number of casualties with only three nurses, as members of the red cross society had not arrived at the scene.
 
Back
Top Bottom