Breaking News
10:53 With votes from 108 constituencies counted, Kenyatta has 2,475,700; Odinga has 1,928,627; Mudavadi has 153,571; Kenneth 23,085; Karua 15,422;...
nahapo Tiba utabishana na ukweli lile gap la digtali bado linaendelea vile vile kama kawa
nasikia hapendi sherehe kama fastjet
sasa mbona mambo ni yale yale? Au hackers wameingilia hadi manual work?
Kuwa mpole mkuu Tiba uone viijana wa ICC wanachukua nji kiulaini ,Raila alishajua ameshindwa akaanza mbwembwe sasa kitu manually anatoka mapovu. Hayo ndio matokeo halisi mkuu ,sio provision results kama ya jana na juzi... yanatangazwa live vituo vyote vya tv Kenya.
Kuwa mpole upewa updates jinsi UK na RUTO wanavyouweza ukabila
source wapi?
Mbona tofauti ya kura kwa manual inaelekea kuwa ile ile na ya digital? na imekaa mda mrefu. Ama software ya ku-manipulate kura na kuwa tofauti ya constant ya laki tano na sita imekuwa installed kwa hardware ya mikono ya wanaohesabu?
Wakenya dungu zangu kuweni makini na mataifa ya magharibi, hata hizo kura zinazosemakana kuharibika naaamini ni simulation tu ya wana-magharibi. Maana ni nyingi zaidi ya mara tatu ya wagombea sita wengine walizopata, walitegemea akina Mdavadi watakuwa na kura za kutosha ili 50+1 isifike, sasa wanachofanya ni kuharibu kura nyingi zaidi ili zipungue zaidi.
Masuke,uko na evidence gani juu ya hii mambo? Mashtaka ya hii mambo iliandaliwa na Moreno Ocampo pamoja na timu ake. International Tribanal haiko na rushwa kama vile unavyodhani wewe,acha sheria ifwate njia ile iko na haki na siyo maneno ya urongo kama iyo,Mkuu hiyo The Hague ilikuwa njama ya akina Raila ili jamaa wasiweze kugombea kipindi kilichokuwa kinafuata, bahati mbaya sana hawakuiweka kwenye katiba kwamba mtu akishatuhumiwa harusiwi kugombea, wahusika wakubwa wa yale machafuko ni Raila na Kibaki shangaa ni kwa nini wao hata mmoja hakuna aliyeshitakiwa.
nasikia obama yuko kwa hot line na wale vijana wa kaz wako kazin nairob
BBC dakika chache zilizopita wanasema CORD hawakubalian na matangazo ya tume kwa ivo wanajiandaa kwenda mahakaman kusimamisha zoez la manual count.
Ukweli nikwamba wao wameshajumlisha kura nchi nzima na wamegundua jamaa kashinda first round.
Angalia kwanza walisema et electronic count imeweka pamanent gap sasa wanasema matokeo ni doctored. Gap lipo palepale lak tano na ushee
Uhuru anaandaa ukumbu wa kutoa speech ya ushindi kesho mchana ingawa wenyewe (ruto) anasema watatoa spich hatakama wameshindwa.
,NOT YET UHURU
But remember around 40% of total votes tallied,so usisherekee mno, mambo ni badoKuwa mpole mkuu Tiba uone viijana wa ICC wanachukua nji kiulaini ,Raila alishajua ameshindwa akaanza mbwembwe sasa kitu manually anatoka mapovu. Hayo ndio matokeo halisi mkuu ,sio provision results kama ya jana na juzi... yanatangazwa live vituo vyote vya tv Kenya.
Kuwa mpole upewa updates jinsi UK na RUTO wanavyouweza ukabila
Unataka hadi updates niweke source?ok nafuatilia citizen,k24 na ntv ndio naandika hizo updates,now kenyatta 2,475,700 odinga 1,928,627
Mkuu inawezekana nisiwe na ushahidi wa kutosha kukuridhisha lakini akili ya kawaida inaniambia nijiulize wale wote sita waliotuhumiwa walikuwa na manufaa gani na zile fujo za baada ya uchaguzi, kwa sababu miongoni mwao hakuna aliyekuwa mgombea urais, wengi wao waligombe ubunge na tayari walikuwa wameshatangazwa washindi, waliokuwa na manufaa na zile fujo za baada ya uchaguzi ni wagombea urais waliokuwa wanabishana yaani Raila na Kibaki na ndo maana walivyokubaliana kugawana madaraka zile fujo zilikoma.Masuke,uko na evidence gani juu ya hii mambo? Mashtaka ya hii mambo iliandaliwa na Moreno Ocampo pamoja na timu ake. International Tribanal haiko na rushwa kama vile unavyodhani wewe,acha sheria ifwate njia ile iko na haki na siyo maneno ya urongo kama iyo,